Kutekenywa

beeper

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
253
Reaction score
106
Wadau Leo nahitaji mnijuze zaidi kwanini hizi sehemu Za unyayoni kiunoni ,makwapani na sehemu zingine huwa na hali ya kujisiskia kusisimka (kutekenywa) Mara mtu anapokugusa taratibu?? Nini kinasababisha mtu kuisi kutekenywa na kuanza kucheka

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nimesahau kwa mara ya mwisho nilitekenywa lini nikache,,, subiri waje watoto wanaweza kusaidia!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…