KUTEKWA KWA DEUSDEDITH SOKA NA KISA CHA BEN SAANANE

KUTEKWA KWA DEUSDEDITH SOKA NA KISA CHA BEN SAANANE

Napendelea siku nione watoto wa bensanane, na TUNDULISu ulingoni wa siasa za TZ wote wakiwa chadema
 
Inauma sana kuona baadhi ya watu wakichukia kukosolewa,MTU anayekwambia ukweli wa Moyo wake huyu huwa ni Mtu mwema kwako na Kwa jamii,unapokosolewa chukua zile point zipqmbanue na kuzifanyia kazi usichukie na usiogope kukosolewa.Cha muhimu yafanyie Kazi kama unaona Yana tija.
 
Ndugu uko timamu kabisa kuandika hivi? Dah! Wewe ni katili mno.
Walio timamu ukipotea wana kutafutia mtandao X kila waki amka wana andika na kupost ili mradi waonekane wana kutafuta while wewe ukiwa mafichoni uko. Hii nchi haiwezi badilika kwa kuandika uko X .

Watachoka kuandika na kuendelea na mambo mengine ya kisiasa kama walivyo choka kwa Ben 8 o'clock Na wengine wengi. Ujasiri wa mtu mmoja hautoshi kubadili mambo utaishia kupotea na atakuja mwingine kama wewe na yeye atapotea kama unpendi kufa kwa mateso lazima ujue kipi cha kuongea na kipi sio na kwa wakati gani uongee tuta kuona jasiri ila ukipotea tuna kusahau .PINNED📌
 
Moja ya andiko lake lilikua suala la vyeti vya academic vya mzee wa SGR. I hope kila nafsinitaonja umauti hakuna kinachodumu r.i.p ben saanane
 
KAKAMATWA NA JESHI LA POLISI ILA CHA KUSHANGAZA JESHI LA POLISI LINA KANUSHA. KUNA MADA INABIDI TUWEKE WAZI KAMA WANAKUJA KUJUCHUKUA WATU ALAFU WANAKATAA SIO WAO KWA NINI TUSIANZISHE KUWAPIGA KAMA MWIZI ILI KUEPUSHA IDADI ZA MAITI HUKO KIBITI
 
KUNA NYAKATI ZITAFIKA WANANCHI WATACHOKA NA HAYA MAMBO NA VIONGOZI WENGI WATAULIWA.
 
Kinacho waponza hawa ni Mdomo mwingi na kuto kujua wapi pa kujifanya jasiri na wapi pa kujifanya mjinga. Ona sasa uyu kasha liwa na mamba kama saa mwenzake alie liwa na chatu
🥺🥺🥺🥺🥺🤔🤔🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂
Ila safari hii kisasi kitalipwa

Kinacho waponza hawa ni Mdomo mwingi na kuto kujua wapi pa kujifanya jasiri na wapi pa kujifanya mjinga. Ona sasa uyu kasha liwa na mamba kama saa mwenzake alie liwa na chatu

View: https://x.com/mwaipungu24/status/1828172070804431275?t=KnMSyUd8W5cl09gg9lfnVA&s=19
Ukatili huu umeota mizizi hasa kwa izi awamu 5&6 yana mwisho
Na
KUNA NYAKATI ZITAFIKA WANANCHI WATACHOKA NA HAYA MAMBO NA VIONGOZI WENGI WATAULIWA.
Zinakaribia
 
Matendo ya utekaji yatakomeshwa siku watanzania wakiamua kufanya maandamano Nchi nzima bila uwoga.
Sahihi 💯
Hii kuboresha daftari la kura sijui mahakamani ni kujidanganya.

Tulia alichosema Bungeni ndicho alichosema Hakimu. Nchi inatawaliwa na kikundi cha watu

. Tuone kesi zote mahakamani ni biashara ya watesi

Tutaandika weeeeh
Kajisemea dada wa kalifonia

Wamasai wameweza wabara tumelogwa tunatawaliwa na vibuyu

Kama chama fanyeni maamuzi magumu. Kiongozi mdomo mzito kutoa kauli mpe kijiti msaidizi unachosha nafsi na mioyo ya wengi..

Tunachoweza ni kusifu na kuabudu watesi kama akina naniniliii.

Wasanii wachafuzi mpo nao mbona?
 
Back
Top Bottom