kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Napendelea siku nione watoto wa bensanane, na TUNDULISu ulingoni wa siasa za TZ wote wakiwa chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidini CHADEMA kuwashauri watuwenu ambao ni ndg zetu baada ya vitisho waishije kitaaMbona nchi iko vitani kitambo sana!
Walio timamu ukipotea wana kutafutia mtandao X kila waki amka wana andika na kupost ili mradi waonekane wana kutafuta while wewe ukiwa mafichoni uko. Hii nchi haiwezi badilika kwa kuandika uko X .Ndugu uko timamu kabisa kuandika hivi? Dah! Wewe ni katili mno.
KUFA KWA SERIKALI NDIO DALILI HIZI SEMA KUNA SIKU PATAGUSA WE TULIA TUHakuna justice nzuri kama piga nikupige inaleta kuheshimiana ingekuwa wa chadema wanapotea 2 halafu ccm 2 na policcm 2 hapo heshima ingekuwepo.
Sijawahi kuona spika wa hovyo kama huyu ktk maisha yangu,Yan huyu ni zero Cc ephen_
Endelea kudanganya wenzio.ww umejificha unakula maharage na vijiposho vya mabwana zako wa mikocheni.Ila safari hii kisasi kitalipwa
🥺🥺🥺🥺🥺🤔🤔🙇🏿♂🙇🏿♂🙇🏿♂Kinacho waponza hawa ni Mdomo mwingi na kuto kujua wapi pa kujifanya jasiri na wapi pa kujifanya mjinga. Ona sasa uyu kasha liwa na mamba kama saa mwenzake alie liwa na chatu
Ila safari hii kisasi kitalipwa
Kinacho waponza hawa ni Mdomo mwingi na kuto kujua wapi pa kujifanya jasiri na wapi pa kujifanya mjinga. Ona sasa uyu kasha liwa na mamba kama saa mwenzake alie liwa na chatu
NaUkatili huu umeota mizizi hasa kwa izi awamu 5&6 yana mwisho
ZinakaribiaKUNA NYAKATI ZITAFIKA WANANCHI WATACHOKA NA HAYA MAMBO NA VIONGOZI WENGI WATAULIWA.
Huna haja ya kuhofia, hatadili na kapuku kama wewe, tutadili na Watekaji tuEndelea kudanganya wenzio.ww umejificha unakula maharage na vijiposho vya mabwana zako wa mikocheni.
Sahihi 💯Matendo ya utekaji yatakomeshwa siku watanzania wakiamua kufanya maandamano Nchi nzima bila uwoga.