Kutekwa kwa MO , uongozi wa Simba uitishe Mkutano wa dharula

Kutekwa kwa MO , uongozi wa Simba uitishe Mkutano wa dharula

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Lengo liwe kuwajulisha wanachama kilichotokea na kuwaomba walisaidie jeshi la polisi kupatikana kwa MO akiwa salama u salimini , ikumbukwe kwamba wanachama na wapenzi wa Simba ni wengi na wametapakaa nchi nzima , tusikae kimya as if lililotokea ni jambo la kawaida .

Naomba kuwasilisha .
 
Na kwanini Millard ayo hii post kaifuta Haraka Sana!! Wajuzi mtujuze.
42760742_254118255249098_560576503323799753_n.jpg
 
Back
Top Bottom