Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Lengo liwe kuwajulisha wanachama kilichotokea na kuwaomba walisaidie jeshi la polisi kupatikana kwa MO akiwa salama u salimini , ikumbukwe kwamba wanachama na wapenzi wa Simba ni wengi na wametapakaa nchi nzima , tusikae kimya as if lililotokea ni jambo la kawaida .
Naomba kuwasilisha .
Naomba kuwasilisha .