Kutekwa kwa Sativa: Polisi anzieni hapa

Kutekwa kwa Sativa: Polisi anzieni hapa

Matukio kama haya yanapotokea ndiyo wakati wa kusomana humu kwenye mitandao nani ni nani
 
Kuna tusi gani la kumfanya Mtu atekwe toka Dar-Arusha-Katavi? Mmtumwa kudivert ukweli na nyie ni **** Tu kama waliowatuma.
Jiulize kwanini hawajakuteka wewe na wakamteka Sativa? Ni kwa kuwa tabia yako ni njema !! Simple
 
Siku 4 zilizopita tarehe 23/ June/ 24, mnamo saa 8: 37 yeye mwenyewe Sativa254 au Edgar Mwakalebela alipost kwenye ukurasa wake wa Twitter (X) maneno haya hapa:

"Ukikoswa koswa na mshale wa jicho basi kichwa lazima kiwajibije"

Baada ya post hiyo ndiyo akapotea mpaka alipopatikana. Yawezekana aliotaka kuwapiga mshale wa jicho walimuwahi.

Naamini wale wanaodhani huyu katekwa na watu wa "system" wanabuni tu.

Akisha pata nafuu Polisi wamuulize ni nani alikuwa anawapelekea ujumbe huo.

PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Osterybay kabla ya kusafirishwa sehemu zingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Wanaomtetea Sativa njooni mjibu hii post hapa juu Martin Maranja Masese, Boniface Jacob etc
 
Siku 4 zilizopita tarehe 23/ June/ 24, mnamo saa 8: 37 yeye mwenyewe Sativa254 au Edgar Mwakalebela alipost kwenye ukurasa wake wa Twitter (X) maneno haya hapa:

"Ukikoswa koswa na mshale wa jicho basi kichwa lazima kiwajibije"

Baada ya post hiyo ndiyo akapotea mpaka alipopatikana. Yawezekana aliotaka kuwapiga mshale wa jicho walimuwahi.

Naamini wale wanaodhani huyu katekwa na watu wa "system" wanabuni tu.

Akisha pata nafuu Polisi wamuulize ni nani alikuwa anawapelekea ujumbe huo.

PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Osterybay kabla ya kusafirishwa sehemu zingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Moisemusajiografii njoo ujibu na maswali haya hapa juu
 
Huo utakua ni sawa na udanganyifu wa kuingia chumba cha mtihani ili umfanyie mtu mwingine.Ushauri;Afuatwe Sativa atoe majibu nyoofu na si mimi nitakayebahatisha tu.
Umesema vizuri kabisa. Lakini kwa wataalamu wa forensic investigation wasingeacha bila kuifanyia kazi hii tweet yake.

Kwa mtazamo wangu ni kwamba utekwaji wa Sativa hauna mahusiano na mambo ya siasa kama wengi wanavyotaka tuamini. Nahisi ni mambo ya fedha au uasherati dhidi ya wake za watu
 
Umesema vizuri kabisa. Lakini kwa wataalamu wa forensic investigation wasingeacha bila kuifanyia kazi hii tweet yake.

Kwa mtazamo wangu ni kwamba utekwaji wa Sativa hauna mahusiano na mambo ya siasa kama wengi wanavyotaka tuamini. Nahisi ni mambo ya fedha au uasherati dhidi ya wake za watu
Hapo neno "mtazamo wangu" ndiyo la kukazania.
 
Back
Top Bottom