Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeniuma sana,nimefuta comment yangu😭😭😭Glad you saw it. Sisi wengi wetu tuko kwenye social media platforms zote maarufu but we rarely use such high tension language
Wanaomtetea Sativa njooni mjibu hii post hapa juu Martin Maranja Masese, Boniface Jacob etcSiku 4 zilizopita tarehe 23/ June/ 24, mnamo saa 8: 37 yeye mwenyewe Sativa254 au Edgar Mwakalebela alipost kwenye ukurasa wake wa Twitter (X) maneno haya hapa:
"Ukikoswa koswa na mshale wa jicho basi kichwa lazima kiwajibije"
Baada ya post hiyo ndiyo akapotea mpaka alipopatikana. Yawezekana aliotaka kuwapiga mshale wa jicho walimuwahi.
Naamini wale wanaodhani huyu katekwa na watu wa "system" wanabuni tu.
Akisha pata nafuu Polisi wamuulize ni nani alikuwa anawapelekea ujumbe huo.
PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Osterybay kabla ya kusafirishwa sehemu zingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Soma kwa utulivu utayaona matusiKuna tusi gani la kumfanya Mtu atekwe toka Dar-Arusha-Katavi?
Moisemusajiografii njoo ujibu na maswali haya hapa juuSiku 4 zilizopita tarehe 23/ June/ 24, mnamo saa 8: 37 yeye mwenyewe Sativa254 au Edgar Mwakalebela alipost kwenye ukurasa wake wa Twitter (X) maneno haya hapa:
"Ukikoswa koswa na mshale wa jicho basi kichwa lazima kiwajibije"
Baada ya post hiyo ndiyo akapotea mpaka alipopatikana. Yawezekana aliotaka kuwapiga mshale wa jicho walimuwahi.
Naamini wale wanaodhani huyu katekwa na watu wa "system" wanabuni tu.
Akisha pata nafuu Polisi wamuulize ni nani alikuwa anawapelekea ujumbe huo.
PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Osterybay kabla ya kusafirishwa sehemu zingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Huo utakua ni sawa na udanganyifu wa kuingia chumba cha mtihani ili umfanyie mtu mwingine.Ushauri;Afuatwe Sativa atoe majibu nyoofu na si mimi nitakayebahatisha tu.Moisemusajiografii njoo ujibu na maswali haya hapa juu
Umesema vizuri kabisa. Lakini kwa wataalamu wa forensic investigation wasingeacha bila kuifanyia kazi hii tweet yake.Huo utakua ni sawa na udanganyifu wa kuingia chumba cha mtihani ili umfanyie mtu mwingine.Ushauri;Afuatwe Sativa atoe majibu nyoofu na si mimi nitakayebahatisha tu.
Hapo neno "mtazamo wangu" ndiyo la kukazania.Umesema vizuri kabisa. Lakini kwa wataalamu wa forensic investigation wasingeacha bila kuifanyia kazi hii tweet yake.
Kwa mtazamo wangu ni kwamba utekwaji wa Sativa hauna mahusiano na mambo ya siasa kama wengi wanavyotaka tuamini. Nahisi ni mambo ya fedha au uasherati dhidi ya wake za watu
🤣🤣Huu mshale mbona umekaa kimazingaumbwe, hapo umetoboa fuvu la kichwa?. Ubongo mbona haujatoka hata kidogo