Kuteleza si kuanguka , Simba kumtandika Mwarabu kwao

Huu uzi hauna maana tena. It has been overtaken by events.
 
Arsenal alipofungwa bao 5 na Liverpool akaja kugeuza matokeo na kumtandika Chelsea bao 2 mtungi , hakuna haja ya watanzania kukata tamaa , leo ushindi ni wetu.

Nakala : Shafii Dauda
Unabahati mbaya kila unachokipenda huwa kina feli.mfno simba, chadema
 
Arsenal alipofungwa bao 5 na Liverpool akaja kugeuza matokeo na kumtandika Chelsea bao 2 mtungi , hakuna haja ya watanzania kukata tamaa , leo ushindi ni wetu.

Nakala : Shafii Dauda
Erythrocyte nakuomba tufahamiane. Nakukubali Sana tangy jamii forum nijiunge uko kwenye mstari uleule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…