moonlightj12
Member
- Dec 6, 2022
- 33
- 90
Wasalaam wana jamvi
Waswahili wanasema kua uyaone,
Kwenye Maisha yetu ya mahisiano kila mmoja anapitia changamoto yake. Jana katika maongezi na shoga angu wangu wa dasilama au daslam kama mnavoiita wenyewe akawa ananieleza changamoto yake na kuomba ushauli,
Bibi huyu ni mke wa bwana mmoja mashughuli sana naweza sema kama ni maisha ameyapatia bwana mwenye pesa, tall and all the good looking bila kusahau mumewe Yuko very proud na mkewe hajawai acha kumpost na mikapsheni na mikopa kopa juu.
Twende kwenye habari kamili,
Mume wa bibi huyu ni mtu wa kusafili safili na baba wa mwanaume huyu alienda kumtembelea kijana wake kwa muda yaani ajipumzishe kwa mtoto wake for a while
Lakini kijana wake kama kawaida ni mtu wa kusafili kwahiyo nyumbani yupo mkewe watoto, mdada wa kazi na baba mkwe aliekuja kusalimia.
Sasa picha linaanza dada anasema kwakua huko daslam ni joto yeye hulala bila nguo,
Anasema akiwa amelala alihisi mtu anampapasa na kumny***a uku chini, aliposhtuka akakuta ni baba mkwe,
Anasema baba mkwe akamwambia tulia tukuoneshe mambo mazuri yavofanywa,,,, ila nyie wanaume ombeeni wake zenu
Basi yeye anasema kwa kua alikua amelegea tayari, akakubali baba mkwe akafanya yake. Kuna vitu ni kama muvi but it's real
Basi mazungumzo yakaendelea , anasema yeye na baba mkwe wamekua wakiendelea na amekua akiinjoy sana.
ila Sasa mumewe ameludi, anasema haskii raha kwakua tayari amezoea na baba mkwe. Kwaiyo haelewi afanyaje sababu yeye anataka ba mkwe na sio mumewe
Kutoka moyoni nilikua namsikiliza huku natetemeka
Nikimuangalia maisha anayoishi mumewe amemjengea ana Gari za kumtembelea, watoto wanasoma shule nzuri afu anaujasili wa kusema eti amechanganyikiwa kuchagua kati ya baba na mwanae
Nyie wanawake wenye waume wanaowajali na kuwapenda msiwachezee kiasi icho wenzenu tuna date na watoto wa farao
Acheni izi mambo wanawake haipendezi jamani
Sina ata nilijomjibu nilimwambia tutaongea kesho kwanza nipumzike.
Waswahili wanasema kua uyaone,
Kwenye Maisha yetu ya mahisiano kila mmoja anapitia changamoto yake. Jana katika maongezi na shoga angu wangu wa dasilama au daslam kama mnavoiita wenyewe akawa ananieleza changamoto yake na kuomba ushauli,
Bibi huyu ni mke wa bwana mmoja mashughuli sana naweza sema kama ni maisha ameyapatia bwana mwenye pesa, tall and all the good looking bila kusahau mumewe Yuko very proud na mkewe hajawai acha kumpost na mikapsheni na mikopa kopa juu.
Twende kwenye habari kamili,
Mume wa bibi huyu ni mtu wa kusafili safili na baba wa mwanaume huyu alienda kumtembelea kijana wake kwa muda yaani ajipumzishe kwa mtoto wake for a while
Lakini kijana wake kama kawaida ni mtu wa kusafili kwahiyo nyumbani yupo mkewe watoto, mdada wa kazi na baba mkwe aliekuja kusalimia.
Sasa picha linaanza dada anasema kwakua huko daslam ni joto yeye hulala bila nguo,
Anasema akiwa amelala alihisi mtu anampapasa na kumny***a uku chini, aliposhtuka akakuta ni baba mkwe,
Anasema baba mkwe akamwambia tulia tukuoneshe mambo mazuri yavofanywa,,,, ila nyie wanaume ombeeni wake zenu
Basi yeye anasema kwa kua alikua amelegea tayari, akakubali baba mkwe akafanya yake. Kuna vitu ni kama muvi but it's real
Basi mazungumzo yakaendelea , anasema yeye na baba mkwe wamekua wakiendelea na amekua akiinjoy sana.
ila Sasa mumewe ameludi, anasema haskii raha kwakua tayari amezoea na baba mkwe. Kwaiyo haelewi afanyaje sababu yeye anataka ba mkwe na sio mumewe
Kutoka moyoni nilikua namsikiliza huku natetemeka
Nikimuangalia maisha anayoishi mumewe amemjengea ana Gari za kumtembelea, watoto wanasoma shule nzuri afu anaujasili wa kusema eti amechanganyikiwa kuchagua kati ya baba na mwanae
Nyie wanawake wenye waume wanaowajali na kuwapenda msiwachezee kiasi icho wenzenu tuna date na watoto wa farao
Acheni izi mambo wanawake haipendezi jamani
Sina ata nilijomjibu nilimwambia tutaongea kesho kwanza nipumzike.