Kutembea na baba mkwe

Kutembea na baba mkwe

Kuna ule Uzi jamaa alileta akasema yule madam anamla Baba yake wa kumzaa na huyo madam akawa anahoji kwani Kuna tatizo gani.Dunia imeshapinduka.Jamaa naye alikuwa anatetemeka kama wewe hakuwa na cha kumuambia huyo madam.
 
Wasalaam wana jamvi

Waswahili wanasema kua uyaone,
Kwenye Maisha yetu ya mahisiano kila mmoja anapitia changamoto yake. Jana katika maongezi na shoga angu wangu wa dasilama au daslam kama mnavoiita wenyewe akawa ananieleza changamoto yake na kuomba ushauli,

Bibi huyu ni mke wa bwana mmoja mashughuli sana naweza sema kama ni maisha ameyapatia bwana mwenye pesa, tall and all the good looking bila kusahau mumewe Yuko very proud na mkewe hajawai acha kumpost na mikapsheni na mikopa kopa juu.

Twende kwenye habari kamili,
Mume wa bibi huyu ni mtu wa kusafili safili na baba wa mwanaume huyu alienda kumtembelea kijana wake kwa muda yaani ajipumzishe kwa mtoto wake for a while

Lakini kijana wake kama kawaida ni mtu wa kusafili kwahiyo nyumbani yupo mkewe watoto, mdada wa kazi na baba mkwe aliekuja kusalimia.

Sasa picha linaanza dada anasema kwakua huko daslam ni joto yeye hulala bila nguo,
Anasema akiwa amelala alihisi mtu anampapasa na kumny***a uku chini, aliposhtuka akakuta ni baba mkwe,

Anasema baba mkwe akamwambia tulia tukuoneshe mambo mazuri yavofanywa,,,, ila nyie wanaume ombeeni wake zenu

Basi yeye anasema kwa kua alikua amelegea tayari, akakubali baba mkwe akafanya yake. Kuna vitu ni kama muvi but it's real

Basi mazungumzo yakaendelea , anasema yeye na baba mkwe wamekua wakiendelea na amekua akiinjoy sana.

ila Sasa mumewe ameludi, anasema haskii raha kwakua tayari amezoea na baba mkwe. Kwaiyo haelewi afanyaje sababu yeye anataka ba mkwe na sio mumewe

Kutoka moyoni nilikua namsikiliza huku natetemeka

Nikimuangalia maisha anayoishi mumewe amemjengea ana Gari za kumtembelea, watoto wanasoma shule nzuri afu anaujasili wa kusema eti amechanganyikiwa kuchagua kati ya baba na mwanae

Nyie wanawake wenye waume wanaowajali na kuwapenda msiwachezee kiasi icho wenzenu tuna date na watoto wa farao

Acheni izi mambo wanawake haipendezi jamani

Sina ata nilijomjibu nilimwambia tutaongea kesho kwanza nipumzike.
Dah! Kwahiyo kwenye miguno anamuita bby au baba mkwe[emoji849]
 
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni sasaivi dunia imechafukwa wanaume kwa wanaume wanafirana na itakuwa iyo!!
 
Wewe hufai kabisa, haiwezekani mtu akuelezee siri zake halafu wewe unakuja ku-share na Jamii. Mwenzako amekuamini, lakini wewe kwa unafiki wako unaleta hapa jf ili upate likes na comments.
Shame on you......

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Sasa kama watu wasipoleta hapa jf stori zao tutasoma nini?

Hivi watu wenginexkazi yao kulaumu tu!
 
.
images%20(23).jpg


Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Ni tangawizi tu hatunywi tena chai
 
Hata mi natamani iwe chai maana namuonea huruma sana huyu baba tena Bora mkewe angekua mkimya asingeshare na watu[emoji17][emoji17][emoji17] mim mwenyewe natamani kumwambia sema naogopa ntamuua Bure
 
Wakati mwingine kumcha Mungu inasaidia,inamuepusha shetani
Hapo shetani keshaingia kwenye ndoa ya watu subiri kifuatacho.
Kama ilikuwa bahati mbaya basi ilitakiwa iwe mara moja tu,kama haijawahi kutokea kitu,sasa mambo gani hayo?
 
Hata mi natamani iwe chai maana namuonea huruma sana huyu baba tena Bora mkewe angekua mkimya asingeshare na watu[emoji17][emoji17][emoji17] mim mwenyewe natamani kumwambia sema naogopa ntamuua Bure
We kausha kama hujui chochote yani
 
Aikizaliwa mtoto DNA damu ile ile mtoto mfanano ni ndani ya familiya ewe Mungu tunusuru.
Wewe baba mkwe nini umekikosa mpaka ukamtamani mkweo? Na wewe mwanamke nini kimekukuta huna geshima kwa mmeo? Duh.
 
Wakati mwingine kumcha Mungu inasaidia,inamuepusha shetani
Hapo shetani keshaingia kwenye ndoa ya watu subiri kifuatacho.
Kama ilikuwa bahati mbaya basi ilitakiwa iwe mara moja tu,kama haijawahi kutokea kitu,sasa mambo gani hayo?
Yaani ni hatari ndo ii unaskia flani kaua mke wake tunamlaumu baba wa watu kumbe kuna mengi nyuma....
 
Sasa kama watu wanatembea na baba zao wa kuwazaa, ndio sembuse baba mkwe? Mimi nimeshafika mahali siku hizi wala sishangai tena.
 
Hiv niulize kwa taratibu zenu, uzoefu qu mawazo yenu, familia inaishi kwenye nyumba kubwa, watoto, chumba cha wageni, beki tatu n.k, mkilala huwa mnafunga milango ya vyumba au huwa mnaacha wazi?

Baba mkwe alifikaje chumbani kwa mke wa.mwanae??
 
Back
Top Bottom