KimChi
Senior Member
- Feb 14, 2018
- 122
- 161
- Thread starter
- #21
Ngosha kumbuka miaka haiko kwenye paji la uso na unakuta kitoto kina mwili na matendo ya shangaz kaja, hadi uje ujue ni baadae sana kila mtu kashashinda mechi zake.Na wewe ngosha una makusudi sana, wajuwa kabakwa mpaka kazaa, nawe wataka kumbaka tena?! Yaani walivyo wengi ngosha umeshindwa kweli kupata kidosho wa zaidi ya miaka 18?! 🙁😡