Kutenda kosa la kulawiti chini ya miaka 16

Kutenda kosa la kulawiti chini ya miaka 16

femalepilot

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2014
Posts
258
Reaction score
118
Kuna thread ipo jukwaa la habari mchanganyiko,huko Morogoro mikese kuna mtoto wa miaka kumi na nne amelawiti watoto wadogo yani wadogo zaidi yake.Swali langu ni je sheria inasemaje mtu wa umri huo akitenda kosa la namna hio,adhabu yake ni nini?
 
Back
Top Bottom