Handsome boy 1
Senior Member
- Jun 2, 2021
- 105
- 142
Mimi ni kijana wa miaka 26 nilikuwa na mpenzi wangu tuliyedumu kwa miaka 2 nolimpenda sana ila yeye aliniektia.
Tuliishi nikijua lengo la mahusiano yetu ni kuoana nilijitoa kwake kwa kiasi kikubwa sana lakini mwaka huu kwa masikitiko makubwa tukaachana maumivu niliyapata ofcourse mana sikutegemea kama tungeachana na ni mwanamke niliyemtegemea sana kuoana naye.
Nimekubali kuachana naye ila akili haisomi bado yan hata wale nlopita nao before nmejikuta sina mzuka nao naona afadhali nibaki tu alone nitafute tu maisha kwanza sina mzuka kabisa na mahusiano najiona mtu wa tofauti sana yani.
Naona afadhali nikae pembeni nifanye kazi zangu tu nijipatie kipato af mapenzi basi.
Tuliishi nikijua lengo la mahusiano yetu ni kuoana nilijitoa kwake kwa kiasi kikubwa sana lakini mwaka huu kwa masikitiko makubwa tukaachana maumivu niliyapata ofcourse mana sikutegemea kama tungeachana na ni mwanamke niliyemtegemea sana kuoana naye.
Nimekubali kuachana naye ila akili haisomi bado yan hata wale nlopita nao before nmejikuta sina mzuka nao naona afadhali nibaki tu alone nitafute tu maisha kwanza sina mzuka kabisa na mahusiano najiona mtu wa tofauti sana yani.
Naona afadhali nikae pembeni nifanye kazi zangu tu nijipatie kipato af mapenzi basi.