Kutengeneza Dola mtandaoni: Ni kweli kuna Watanzania wanapiga kazi zenye mkwanja online na wamefanya ziwe ajira rasmi?

Kutengeneza Dola mtandaoni: Ni kweli kuna Watanzania wanapiga kazi zenye mkwanja online na wamefanya ziwe ajira rasmi?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Hapa sizungumzi kazi za kijanja janja unaotea kwa muda mchache unapiga dola kadhaa alafu baada ya hapo mchongo unakuwa ushachuja unaanza upya kujitafuta kwengine, nazungumzia kazi iwe ya uhakika kiasi kwamba kuna watu wamezigeuza ziwe ajira rasmi wanazifanya hata kwa miaka mitatu +.

kazi ziwe na watu wanao withdraw walau dola 400 (shilingi milioni moja) kila mwezi

Kazi ziwe halali sio za kufanya kwa kujificha, mtu akishika laptop unayofanyia kazi roho inaenda mbio, unaogopa hata kumfundisha mwanafamilia hio kazi yako.
 
Hapa sizungumzi kazi za kijanja janja unaotea kwa muda mchache unapiga dola kadhaa alafu baada ya hapo mchongo unakuwa ushachuja unaanza upya kujitafuta kwengine, nazungumzia kazi iwe ya uhakika kiasi kwamba kuna watu wamezigeuza ziwe ajira rasmi wanazifanya hata kwa miaka mitatu +.

kazi ziwe na watu wanao withdraw walau dola 400 (shilingi milioni moja) kila mwezi

Kazi ziwe halali sio za kufanya kwa kujificha, mtu akishika laptop unayofanyia kazi roho inaenda mbio, unaogopa hata kumfundisha mwanafamilia hio kazi yako.
Here I am with more than 5 years huko na ni ajira yangu rasmi.
Sema inanifanya nijitenge na jamii muda mwingi niko ndani kama bundi
 
Tofauti na forex wadau wa kazi zingine kama dropshipping na platform nyinyine kama upwork & fiverr pls share
 
Setups una maanisha nini? Technicals kama macds na moving averages?
Twende GBPJPY mzee
Hizo ni indicators mkuu. Natumia price action kujua soko na siyo indicators. Indicators niliacha zamani mkuu.
Tuna endaje GBPJPY sasa mkuu. Hapa jamii forum
 
Yaani tupeane signal mze kama vp
Hakuna haja ya signal mkuu sema nikupe dara from A to Z from Monthly to 15 minute's timeframe alafu fanya entry kwenye 3 minute's huko.
Do the analylsis by yourself and tengeneza signal.
Its simple ila kikubwa upate darasa tuu.
 
Back
Top Bottom