Kutengeneza njia ya uzazi kwa mama mjamzito

Njema kabisa

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
699
Reaction score
238
Salam kwenu wakuu,

Ni mara nyingi nimekuwa nikisikia habari za mama mjamzito kuwa anatakiwa atengeneze njia ya mtoto, kwa kukutana na mwenzi wake.

Je ni kweli kuna ulazima wa kufanya hivyo?

Na je hamna namna nyingine ya kutengeneza njia bila ku du?
 
Njema kabisa

Nenda kituo cha afya kilicho karibu nawe utapata jibu
 
Last edited by a moderator:
ni lugha ya kikubwa hiyo ya kuombea 'mzigo' hakuna cha njia wala barabara ukizingatia akina mama kipindi hicho wanakuwa moodless, hivo lazima wazugwe kihivo.
 
Uzushi huo upuuze, njia inajiongezaga yenyewe ila huyo mjamzito afanye mazoezi tu hasa hasa kutembea.....
Mida ya jioni atembee taratibu umbali mrefu inasaidia
 
Uzushi huo upuuze, njia inajiongezaga yenyewe ila huyo mjamzito afanye mazoezi tu hasa hasa kutembea.....
Mida ya jioni atembee taratibu umbali mrefu inasaidia

Doh ahsante Evelyn nimekupata mana nilikuwa najiuliza kama mume yuko mbali je achepuke? Kumbe inaongezeka yenyewe automatically!
 
Last edited by a moderator:
Ingekuwa mtu akifwanywa panabaki pakubwa nadhani ingekuwa tukikaa mtu anaona hadi utumbo, huo huwa ni uongo

Ahaahaahaa dah you made my day Evelyn bt huyu kakutana na mwanaume mara tatu tang azaliwe sa ana hof imenasa kabla hajazoea hizo mambo
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Watu wanapigwa miti hadi miezi 9 na bado wanapasuliwa sasa hiyo njia vipi tena! Au ilitakiwa iwe barabara?
 
Na hiyo ya kuongeza njia ni ipi,labda lingekuwa linaingia gogo lkn km ni hz dushe tu hakuna kitu km hicho ni usemi tu.cha mcngi ni mazoezi tu
 
ni lugha ya kikubwa hiyo ya kuombea 'mzigo' hakuna cha njia wala barabara ukizingatia akina mama kipindi hicho wanakuwa moodless, hivo lazima wazugwe kihivo.

True ; na ukizingatia kuna ladha haijawahi simulika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…