Kutengeneza vigae vya kupaua nyumba

Kutengeneza vigae vya kupaua nyumba

Mijicho

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2009
Posts
282
Reaction score
219
Habari za hapa,napenda kuwashirikisha biashara moja nzuri
Kuna taasisi ya serikali inaitwa nhbra-national house building research agency,hawa wanatoa mafunzo jinsi ya kutengeneza vigae vya kupaua, ni utaalam uliofanyiwa utafiti, kuweza kutengeneza vigae vya kupaua nyumba kwa bei rahisi,ni biashara ambayo imewanyanyua wengi sana.mashine zote na vifaa vingine vyote wanauza pale,kwa ambaye atahitaji maelekezo asisite kunicheki zaidi
 
Habari za hapa,napenda kuwashirikisha biashara moja nzuri
Kuna taasisi ya serikali inaitwa nhbra-national house building research agency,hawa wanatoa mafunzo jinsi ya kutengeneza vigae vya kupaua, ni utaalam uliofanyiwa utafiti, kuweza kutengeneza vigae vya kupaua nyumba kwa bei rahisi,ni biashara ambayo imewanyanyua wengi sana.mashine zote na vifaa vingine vyote wanauza pale,kwa ambaye atahitaji maelekezo asisite kunicheki zaidi
Wanapatikana wapi Mkuu
Contacts tafadhali
 
Wewe umeshaanza kutengeneza hivyo vigae uniuzie .KAMA TAYARI FANYA MAWASILIANO NA MIMI MWEZI WA PILI NAPAUA
 
Leta picha ya vigae. Pia ungekuja na maelezo zaidi kuhusu materials na bei ua products ili tupate mshawasha
 
Leta picha ya vigae. Pia ungekuja na maelezo zaidi kuhusu materials na bei ua products ili tupate mshawasha

Sikiliza,unaweza kununua ambavyo wametengeneza pale pale, na ukapaua,au unaweza kununua machine zake ukaenda kutengeneza za biashara kuuzia wengine,interest yangu ni kwa yule anayetaka kufanya biashara,ntamsaidia apate mashine na vifaa kwa bei ya chini,pale kigae wanauza kimoja 500,kinatengenezwa kwa mchanga,cement, katani ,na rangi
 
Bei ya mashine ikoje?
Sikiliza,unaweza kununua ambavyo wametengeneza pale pale, na ukapaua,au unaweza kununua machine zake ukaenda kutengeneza za biashara kuuzia wengine,interest yangu ni kwa yule anayetaka kufanya biashara,ntamsaidia apate mashine na vifaa kwa bei ya chini,pale kigae wanauza kimoja 500,kinatengenezwa kwa mchanga,cement, katani ,na rangi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya mashine ikoje?

Sent using Jamii Forums mobile app



Mashine Bei yake ni very cheap,250,000 ,lakini kuna kitu kinaitwa mould ambazo ndio zinaweka shape ya kigae ,hizi kdg ndio bei ghali,kwa moja ni 25,000 na ili uweze kutengeneza vigae vingi unahitaji kama 100 au 200.

So interest yangu kuwafahamisha kuhusu hii biashara ni kuwa mimi ninavyo hivi vifaa ,lakini bei yake ntafanya kwa mashine 200,000 na mould moja 20,000
 
Mashine Bei yake ni very cheap,250,000 ,lakini kuna kitu kinaitwa mould ambazo ndio zinaweka shape ya kigae ,hizi kdg ndio bei ghali,kwa moja ni 25,000 na ili uweze kutengeneza vigae vingi unahitaji kama 100 au 200.

So interest yangu kuwafahamisha kuhusu hii biashara ni kuwa mimi ninavyo hivi vifaa ,lakini bei yake ntafanya kwa mashine 200,000 na mould moja 20,000

angalia baadhi ya picha kutoka kwa blog yao.
 

Attachments

  • 20180515_115529(0).jpg
    20180515_115529(0).jpg
    19.5 KB · Views: 45
  • 20180515_102712.jpg
    20180515_102712.jpg
    153.1 KB · Views: 38
Habari za hapa,napenda kuwashirikisha biashara moja nzuri
Kuna taasisi ya serikali inaitwa nhbra-national house building research agency,hawa wanatoa mafunzo jinsi ya kutengeneza vigae vya kupaua, ni utaalam uliofanyiwa utafiti, kuweza kutengeneza vigae vya kupaua nyumba kwa bei rahisi,ni biashara ambayo imewanyanyua wengi sana.mashine zote na vifaa vingine vyote wanauza pale,kwa ambaye atahitaji maelekezo asisite kunicheki zaidi
Mkuu mawasiliano!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashine Bei yake ni very cheap,250,000 ,lakini kuna kitu kinaitwa mould ambazo ndio zinaweka shape ya kigae ,hizi kdg ndio bei ghali,kwa moja ni 25,000 na ili uweze kutengeneza vigae vingi unahitaji kama 100 au 200.

So interest yangu kuwafahamisha kuhusu hii biashara ni kuwa mimi ninavyo hivi vifaa ,lakini bei yake ntafanya kwa mashine 200,000 na mould moja 20,000
Mkuu mafunzo kiasi gani cha pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom