Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,803
Tafadhali wanasheria tunaomba msaada hapa.
Kuna jambo limetokea kwa ngazi moja ya ajira serikali kuu. Awali ngazi hii ilikuwa ya kimadaraka zaidi hivyo MISHAHARA ilikuwa mikubwa kulinganisha na kazi zingine. Ilipofika mwaka 2003 ngazi hii ilirudishwa kuwa Kama utumishi wa kawaida ila sijui ni bahati mbaya au njema hawakushusha ngazi ya mshahara. Hivyo mpaka 2008 watu waliajiriwa kwa mshahara mkubwa.
Sasa imekuja barua ya kuwashusha MISHAHARA wafanyakazi hawa toka ngazi ya TGS F mpaka E, ni tofauti ya shilingi 200,000,hii itaanza kwa mwezi huu wa Saba.
SWALI LANGU: hii iko sahihi KISHERIA? Au niseme sheria inasemaje?
Note: wafanyakazi hawa wamekopa kwenye mabenki kwa mshahara ule wa awali, wakikatwa watakuwa na negative kwenye account zao.
Kuna jambo limetokea kwa ngazi moja ya ajira serikali kuu. Awali ngazi hii ilikuwa ya kimadaraka zaidi hivyo MISHAHARA ilikuwa mikubwa kulinganisha na kazi zingine. Ilipofika mwaka 2003 ngazi hii ilirudishwa kuwa Kama utumishi wa kawaida ila sijui ni bahati mbaya au njema hawakushusha ngazi ya mshahara. Hivyo mpaka 2008 watu waliajiriwa kwa mshahara mkubwa.
Sasa imekuja barua ya kuwashusha MISHAHARA wafanyakazi hawa toka ngazi ya TGS F mpaka E, ni tofauti ya shilingi 200,000,hii itaanza kwa mwezi huu wa Saba.
SWALI LANGU: hii iko sahihi KISHERIA? Au niseme sheria inasemaje?
Note: wafanyakazi hawa wamekopa kwenye mabenki kwa mshahara ule wa awali, wakikatwa watakuwa na negative kwenye account zao.