ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
Nape anafunika kombe ili mwanaharamu apite, kibanda zimemponda mbio za urais ndani ya ccm kuelekea 2015, imemsababishia ang'olewe kucha bila ganzi. Akina nape wanafanya mchezo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wetu ndio anayetakiwa kuwa mkali kwa familia yake na kuwaeleza wanamweka mahali pabaya kama kiongozi wa nchi.Labda kama hili hawalielewi.Unless kama Urais wake ni wa Familia yake.
Kwani KIBANDA ana mpango wa kugombea urais.Nape anafunika kombe ili mwanaharamu apite, kibanda zimemponda mbio za urais ndani ya ccm kuelekea 2015, imemsababishia ang'olewe kucha bila ganzi. Akina nape wanafanya mchezo!
the one who hires the investigatives should be included in the list of suspects,
Itafahamika tu yataibuka mengi saana nasi twayasubiri
Wait... Unakumbuka Mwanakijiji alihoji hapa mwishoni mwa mwaka jana kuhusu safari iliyokuwa na utata ya Ridhiwan kwenda ukerewe? Unakumbuka Kibanda mwezi uliopita aliandika makala inayofichua chuo cha kigaidi kinachomilikiwa na Aljaazera Islamic group kule Ukerewe? N aunakumbuka hao Aljaazera walimpa Kibanda siku saba akanushe hiyo habari, na Kibanda akakataa kwa sababu alikuwa na uhakika nayo?
:nono::nono::nono:
riziwani ajiandae kuhama nchii hii bwana zaifu akitokanikulu.
Mkuu unakumbuka baada ya makala hiyo, Vyombo vya dola vililifanya uchunguzi na kugundua kuwa ni uzushi na kwamba hakuna chuo kama hicho?
:der::der::der::der::der::A S-confused1::A S-confused1:Wait... Unakumbuka Mwanakijiji alihoji hapa mwishoni mwa mwaka jana kuhusu safari iliyokuwa na utata ya Ridhiwan kwenda ukerewe? Unakumbuka Kibanda mwezi uliopita aliandika makala inayofichua chuo cha kigaidi kinachomilikiwa na Aljaazera Islamic group kule Ukerewe? N aunakumbuka hao Aljaazera walimpa Kibanda siku saba akanushe hiyo habari, na Kibanda akakataa kwa sababu alikuwa na uhakika nayo?
:nono::nono::nono:
without evidence you have no right to speak ,prove it beyond 0' reasonable dought kuwa hamna hicho chuo.Mkuu unakumbuka baada ya makala hiyo, Vyombo vya dola vililifanya uchunguzi na kugundua kuwa ni uzushi na kwamba hakuna chuo kama hicho?