Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
Kuteuliwa kwa Dr. Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wa chama ni turufu kubwa sana, chama kimerudi mikononi mwa wenyenacho, wenye uchungu nacho, ambao hawategemewi kuezua nyasi ili nyumba ivuje.
Mtu mwenye tamaa ya kuiona Tanzania inaendelea kung'ara na kuwa kielelezo cha Amani na mshikamano, mtu ambaye hategemewi kuona muungano unateteleka, mtu ambaye hawezi kuvuka mto bila kupima mto kwa kijiti, kwa ufupi wewe kunywa chai yako kwa raha zako chaguzi zote na zile za uchaguzi mkuu ni Mseleleko.
Mtu mwenye tamaa ya kuiona Tanzania inaendelea kung'ara na kuwa kielelezo cha Amani na mshikamano, mtu ambaye hategemewi kuona muungano unateteleka, mtu ambaye hawezi kuvuka mto bila kupima mto kwa kijiti, kwa ufupi wewe kunywa chai yako kwa raha zako chaguzi zote na zile za uchaguzi mkuu ni Mseleleko.