Kuthibiti upaa msaada tafadhali

hidekel

Senior Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
142
Reaction score
35
Jamani mi nahisi upaa unaninyemelea na sipendi sana kuwa na upaa. sasa je ni njia au dawa ipi itanisaidia?
Tafadhali
 
Mkuu huo ni kama mvi huwezi zuia zisitokee
Ila vuta subira wajuzi na wenye uzoefu
wanakuja kukujuza punde na huenda
azma yako ikafanikiwa .
 
kuna siku niliona channel moja hizi zinazopatikana kwenye king'amuzi walikua wanatangaza dawa fulani ya kuotesha nywele lakini walikua wanaandika majina kwa kiarabu ila tangazo linatangazwa kwa kiinegreza. si unajua tena hizi channel mbalimbali za kwenye king'amuzi zinaonekana kama ziko intended for arabic nations
 
Kuna jiran yangu alikunywa dawa ya kiarabu ya kuoteshwa nywele zimeota hata sehem isyotakiwa uso wote nywele jitazame
 
Ikiwa dawa ni ya kupaka itakua sawa lakini ya kunywa????, Hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…