kuna siku niliona channel moja hizi zinazopatikana kwenye king'amuzi walikua wanatangaza dawa fulani ya kuotesha nywele lakini walikua wanaandika majina kwa kiarabu ila tangazo linatangazwa kwa kiinegreza. si unajua tena hizi channel mbalimbali za kwenye king'amuzi zinaonekana kama ziko intended for arabic nations
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.