BWANA MISOSI
Member
- Feb 11, 2020
- 39
- 24
Habari wana JF.
Naomba kuuliza kwa wale watumishi walioajiriwa kwenye taasis ya umma, baada ya mwaka unatakiwa kuthibishwa kazini, swali, je kuna taratibu zipi zinapitiwa ili uthibishwe?
Je, unaweza kukatariwa usithibitishwe? Kwa sababu zipi?
Naomba kuuliza kwa wale watumishi walioajiriwa kwenye taasis ya umma, baada ya mwaka unatakiwa kuthibishwa kazini, swali, je kuna taratibu zipi zinapitiwa ili uthibishwe?
Je, unaweza kukatariwa usithibitishwe? Kwa sababu zipi?