Kutibu Maji

Kutibu Maji

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227
Kuna jamaa anajidai ni mtaalam wa lugha Cloudsfm, anasema huwezi kutibu maji kwasababu hatutumii dawa na ni tafsiri sisisi.
1.Je chemical sio dawa au dawa sio chemical?
2. Anadai pia kwa maoni "yake" sio sahihi. kwani sisi tunahitaji maoni yake?
3. Anasema anapata "ukakasi" na haoni "ladha", je ukakasi au ladha unaipataje kwa kusikia au kutamka na sio kuonja au kula?
 
Back
Top Bottom