Mti wa Chuma
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 331
- 99
Dah.
Katika hali ya kushangaza nimetishwa na kutukanwa na mtu ambaye ananidai ambako alianza kuvurumisha matusi makubwa pamoja na vitisho, huku akiniambia nitakuharibu.
Hali hii imekuja nikiwa kwenye process za kumlipa kiasi kwamba ameniogopesha sana.
Je, sheria ya madai inaruhusu kumtishia na kumtukana unayemdai?
Ushauri wenu.
Katika hali ya kushangaza nimetishwa na kutukanwa na mtu ambaye ananidai ambako alianza kuvurumisha matusi makubwa pamoja na vitisho, huku akiniambia nitakuharibu.
Hali hii imekuja nikiwa kwenye process za kumlipa kiasi kwamba ameniogopesha sana.
Je, sheria ya madai inaruhusu kumtishia na kumtukana unayemdai?
Ushauri wenu.