mimi niko free ila hiyo siwezi ya ku-poopoh duh kweli mapenzi ni mapumbavuSasa wewe unashangaa kutoa hewa chafu, je ku-poopoh wakati mwenzako anaoga hapo pembeni yako? Ndoa is the place you can be yourself bwana, huko kwenye nyumba ndogo ndo unaweza ku-act. Utajizuia miaka 10, si utapata kansa ya utumbo mnene?
hadi harufu ya ushuzi?ndoa ni ku-share kila kitu, si ndiyo?! Sasa?
unajamba tuu ili mradi na yeye akikiachia uuchune hata kama kinanuka kiasi gani..fair play si ndio..
DAH NIMEITAMANI HIYO BIKRA YA KUJAMBA MWEEH NTAKUPATAJE?:A S tongue:duh bado sijamjambia mtu aisee
DAH NIMEITAMANI HIYO BIKRA YA KUJAMBA MWEEH NTAKUPATAJE?:A S tongue:
zamani walikuwa wanasema kuwa kama mke akipuga (nimepunguza ukali wa neno) mkiwa mmejifunika shuka mpk kichwani unakuwa kama umelishwa libwata kila analosema unafuata
Wala huhitaji kuuchuna; mnaweza kugeuza kamchezo fulani katamu tu! na inashika kweli si utani! Kajaribu leo kumtania vyema akijamba! lol!
nadhanai wataaalumu wataiita Farting fettish..............lol!
Bonge la nasaha. Hongera Ubungoubungo. Waambie waelewe: ndoa si lelemama. Ndo maana inaitwa wedlock/pingu, mwili mmoja. Mnashea YOTE.nyie vijana, hii ni kitu cha kawaida, wala msiumize moyo kubanabana...mme wako au mke wako anajua kila kona ya maisha yako, halafu ni mwili wako huo mmefanyika mwili mmoja, hivyo ukiona ametoa harufu mbaya, unatakiwa kuivuta kama vile wewe unavyovutaga harufu uliyoitoa wewe mwenyewe..kwa wale wenye vyoo vilivyojengwa pamoja na bafu humohumo...hata kujisaidia haja kubwa mbele ya mkeo/mmeo ni kitu cha kawaida, pia anaweza hata akakutawaza hata kukutawaza ukipenda/amua...kwani unachoogopa ni nini? unaogopa mmeo/mkeo ataona kimba lako...sasa ukiugua huna haja unaharisha hata uwani unakalishwa au unajisaidia kwenye kisahani/kopo/dishi na mkeo/mmeo anatakiwa azoe, akutawaze na afanye vyote utafanya nini? utakubali mdogo wako aje akuuguze wakati mkeo yuko hapohapo?....
yaani mkishaoana mnakuwa mwili mmoja, usafi wake ni usafi wako, uchafu wake ni uchafu wako..harufu yake ni yako, tumbo lake ni lako kila kitu chake ni chako...na ni mwiko kujifanya una aibu mbele ya mwenzio...
mmesikia vijana? :A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade:
nyie vijana, hii ni kitu cha kawaida, wala msiumize moyo kubanabana...mme wako au mke wako anajua kila kona ya maisha yako, halafu ni mwili wako huo mmefanyika mwili mmoja, hivyo ukiona ametoa harufu mbaya, unatakiwa kuivuta kama vile wewe unavyovutaga harufu uliyoitoa wewe mwenyewe..kwa wale wenye vyoo vilivyojengwa pamoja na bafu humohumo...hata kujisaidia haja kubwa mbele ya mkeo/mmeo ni kitu cha kawaida, pia anaweza hata akakutawaza hata kukutawaza ukipenda/amua...kwani unachoogopa ni nini? unaogopa mmeo/mkeo ataona kimba lako...sasa ukiugua huna haja unaharisha hata uwani unakalishwa au unajisaidia kwenye kisahani/kopo/dishi na mkeo/mmeo anatakiwa azoe, akutawaze na afanye vyote utafanya nini? utakubali mdogo wako aje akuuguze wakati mkeo yuko hapohapo?....
yaani mkishaoana mnakuwa mwili mmoja, usafi wake ni usafi wako, uchafu wake ni uchafu wako..harufu yake ni yako, tumbo lake ni lako kila kitu chake ni chako...na ni mwiko kujifanya una aibu mbele ya mwenzio...
mmesikia vijana? :A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade:
Ubungoubungo na Kituko nimewaaagizieni chai ya maziwa na bagia sita za kunde kila mmoja!
Kwanza kujamba ni afya,kwa hiyo mwenzio akijamba amini kwamba ni mzima,wale jamaa zetu wa Mbeya a.k.a Nyaki, ukijamba wakasikia wanakupa hongera,wanasema " hongera upiyile" , mnisamehe kama nimekosea kuandika kinyaki.