Kutoa hewa kwa wanandoa

kuna bwana mmoja alikuwa akimlazimisha mkewe kujamba kisha anamnusa makalioni. hii kali
 
mnitake RADHI enyi wandugu. hii habari ilitoka gazetini tena kwenye haya magazeti ya udaku. huyu mama akiomba ushauri wa nini cha kufanya baada ya kushindwa kumvumilia huyo mista wake
 
Ya nini kutoka nje, kuna wakati mwingine ni vigumu kujizuia ni kuachia tu!
Tehhh! tehhhh..Mi na wife wangu tumeshazoeshana mtu akitaka kujamba anaachia tu mzinga wake bila shaka wala mikwaruzo then tunaishia kuchekana mpaka hali ya hewa itakapotulia...Ila hali ikiwa mbaya mhanga wa hilo shuzi analazimika mwenyewe kwenda kutafuta fresh air nje maana kuna wakati kama ulikula mseto mbaya mtu hawezi kuvumilia...
 
iTAKUA VIPI KAMA UNA UGONJWA WA GIADIASIS(kutoa kinyesi au kijambo kinachonuka sana?
 
mimi sioni kama ni tatizo ila usipoachia utajikuta unavimba tumb, sasa ni afadhali uliachie uwe mzima au ufe kiafisa?
 

nimecheka sana
 
:A S 39:hii mada imenifurahisha sana, ila jamani ukiwa na boy/girl mpya siku za mwanzoni inakuwa kazi kweli kweli,
 
kuna bwana mmoja alikuwa akimlazimisha mkewe kujamba kisha anamnusa makalioni. hii kali
duh huyo jamaa ni firauni lol... ila kila mtu ana kitu chake roho inapenda wengine wakisikia harufu ya ushuzi roho kwatuuu
 
kuna jamaa mmoja alijamba kwenye gari mara demu wake akatokea na rafiki zake njiani wakawa wanamsimamisha wakati harufu imechanganya mle ndani halafu ilikuwa full kipupwe vioo vimefungwa ikabidi jamaa ampotezee demu na wenzake halafu alivyofika mbele akamwambia nimeona mtu kama wewe demu akamwambia mbona tumekuona kabisa umetuchunia na tulikwambia tupo pale jamaa akamwambia nisubiri hapo hapo narudi kumbe alifungua vioo ushuzi utoke nje
 
Nakumbuka shule kuna jamaa walikuwa wanajamba kwa mashindano mle bwenini, kwa hiyo na wewe ukijisikia kuachia unaachia halafu na wengine wanajikamua hadi wanajamba, watu wanashangilia vibaaya sana
 
Nakumbuka shule kuna jamaa walikuwa wanajamba kwa mashindano mle bwenini, kwa hiyo na wewe ukijisikia kuachia unaachia halafu na wengine wanajikamua hadi wanajamba, watu wanashangilia vibaaya sana

Hahaha sasa hapo unaweza ukajikamua ukatoa uchafu badala ya hewa
 
Nakumbuka shule kuna jamaa walikuwa wanajamba kwa mashindano mle bwenini, kwa hiyo na wewe ukijisikia kuachia unaachia halafu na wengine wanajikamua hadi wanajamba, watu wanashangilia vibaaya sana
hao jamaa watakuwa walikuwa machoko si bure
 

Kama hujaoa Kimbweka, Je umeshatangaza nia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…