NATIONALISM
Member
- Jul 10, 2013
- 24
- 1
naomba wataalamu wa humu ndani juu ya hili
Ni kwamba baba alizaa mtoto wa nje mwanaume,sasa baba analazimisha kumpa shamba bila sie watoto wakubwa kuridhia.
Kisheria likoje!
Ni kwamba baba alizaa mtoto wa nje mwanaume,sasa baba analazimisha kumpa shamba bila sie watoto wakubwa kuridhia.
Kisheria likoje!