Kutoa mimba kunaweza kusababisha mwanamke ashindwe kupata mimba nyingine?

kinole1984

Member
Joined
Aug 4, 2017
Posts
65
Reaction score
50
Wanajamii naomba mnisaidie sababu nne au zaidi .

Kuna mwanamke tumepanga tuoane.


Sasa kabla hatujaanza michakato akapata mimba

Akaamua kutoa, kwani alinambia ingekuwa haibu kwao.

Sasa baada ya kumuoa ,kila tukitega siku ya hatari ya kupata mimba,inakuwa issue yani hapati.


Nahitaji sababu please.
 
Aisee Mtateseka sanaa...Tena bora angetaka kuzaa na mwingne kidogo hiyo dhambi isingewatafuna sana..! Poleni sana Kamuangalie uzazi wake kama yupo vizuri bado...
 
Wanajamii naomba mnisaidie sababu nne au zaidi kuna mwanamke tumepanga tuoane sasa kabla hatujaanza michakato akapata mimba akaamua kutoa, kwani alinambia ingekuwa aaibu kwao sasa baada ya kumuoa ,kila tukitega siku ya hatari ya kupata mimba,inakuwa issue yani hapati.


Nahitaji sababu please.
 
Mimba haikuwa yako hiyo.

Huenda kiumbe hicho ndo kilikuwa pekee na mkaamua kukiua

That's the price both of you have to pay.

May God have mercy on you?
 
Aisee Mtateseka sanaa...Tena bora angetaka kuzaa na mwingne kidogo hiyo dhambi isingewatafuna sana..! Poleni sana Kamuangalie uzazi wake kama yupo vizuri bado...
Ahsante kwa ushauri
 
Mmeshiriki kuua kiumbe kisichokuwa na hatia, heti mnataka mtoto.

Ndugu hongera sana Una moyo, endelea na moyo huo huo.

Kuhusu mimba nendeni hospital kucheki uzazi, tatizo linaweza kuwa la kwako au yeye. Utakiwa kunyoosha kidole kwake.

Vile vile umeoa lakini ujuwi thaman ya ndoa nini, vitu hivyo mlitakiwa kuzungumza wenyewe ndani na kupata utatuzi nini mkifanya wote 2
 
Hiyo dhambi itawatafuna sana. Yaani mlikatisha maisha ya kiumbe kisichokuwa na hatia kisa kuona aibu. Yaani umuue mwenzio kwa sababu ya aibu? Hiyo sababu mbona hailingani na uzito wa jambo alilolifanya mkeo. Hivi mkikosa mtoto maisha yenu yote mtamlaumu kweli Mungu?
 
Katumia sana vidonge huyo vya kuzuia ujauzito
 
Hiyo mimba itakuwa ilikuwa ya mwanaume mwingine ndio maana aliitoa kuogopa aibu,wewe ndio utakuwa na shida ya uzazi nenda kamuone daktari mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…