life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,035
Pole yake na Salaama yako!! Tukio Hilo ni Kama kumtoa Mgonjwa wodini na kumpeleka Mochwari !!(baridiii)Hivi ukikutana na Mtanzania Moputo, Msumbiji. Anakusimulia mkasa wake kuwa hana kazi, hana hela, anadaiwa kodi ya nyumba na ameamua kurudi nyumbani. Yeye ni Mwenyeji wa Kigoma.
Wewe unaendesha gari. Unaamua kumpa lift. Mnafika Mtwara unamwambia ashuke, msaada wako umemfikisha Tanzania umemaliza.
Utakuwa umemsaidia au unemuobgezea matatizo?