Kutoa ni moyo: Ole Sosopi amwaga misaada kwa Wahanga wa Mafuriko Ismani

Kutoa ni moyo: Ole Sosopi amwaga misaada kwa Wahanga wa Mafuriko Ismani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Subpost 1 - Part 1 AWAMU YA PILI MSAADA KWA WAHANGA 800 WA MAFURIKO ISIMANI  Jan ( 640 X 640 ).jpg


Subpost 3 - Part 1 AWAMU YA PILI MSAADA KWA WAHANGA 800 WA MAFURIKO ISIMANI  Jan ( 640 X 640 ).jpg


Subpost 5 - Part 1 AWAMU YA PILI MSAADA KWA WAHANGA 800 WA MAFURIKO ISIMANI  Jan ( 640 X 640 ).jpg


Wakuu poleni na janga la Corona , pamoja na taarifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari ni kuhusu Corona , lakini nchini Tanzania kuna tatizo kubwa sana la mafuriko kwenye maeneo mengi , na hivyo kuleta shida kubwa sana kwa wananchi wa maeneo husika.

Kumekuwa na uharibifu wa makazi ya raia pamoja na ukosefu mkubwa wa chakula , baada ya nyumba na mazao mashambani kusombwa na mafuriko.

Wananchi hawa wanahitaji msaada wa hali na Mali , ndio maana Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Ole Sosopi ameamua kujitokeza hadharani na kugawana kidogo alichonacho na masikini wenzake.

#Tuendelee kunawa mikono ili kujikinga na virusi vya Corona .
 
Wakati Ole sabaya akiwatuma wahuni waharibu mikutano ya Chadema, Ole Sosopi anagawa misaada kwa Wananchi wa Tanzania
 
Kumbe Ole Sosopi ni Masikini na Yeye kaamua Kugawa kwa Masikini Wenzake? Nilikuwa silijui hili na nashukuru kwa Taarifa.
 
Back
Top Bottom