Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Sosopi ana utajiri gani ?Kumbe Ole Sosopi ni Masikini na Yeye kaamua Kugawa kwa Masikini Wenzake? Nilikuwa silijui hili na nashukuru kwa Taarifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sosopi ana utajiri gani ?Kumbe Ole Sosopi ni Masikini na Yeye kaamua Kugawa kwa Masikini Wenzake? Nilikuwa silijui hili na nashukuru kwa Taarifa.
kwa Nini umeandika kutoa Ni moyo??View attachment 1419583
View attachment 1419584
View attachment 1419585
Wakuu poleni na janga la Corona , pamoja na taarifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari ni kuhusu Corona , lakini nchini Tanzania kuna tatizo kubwa sana la mafuriko kwenye maeneo mengi , na hivyo kuleta shida kubwa sana kwa wananchi wa maeneo husika .
Kumekuwa na uharibifu wa makazi ya raia pamoja na ukosefu mkubwa wa chakula , baada ya nyumba na mazao mashambani kusombwa na mafuriko .
Wananchi hawa wanahitaji msaada wa hali na Mali , ndio maana Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Ole Sosopi ameamua kujitokeza hadharani na kugawana kidogo alichonacho na masikini wenzake .
# Tuendelee kunawa mikono ili kujikinga na virusi vya Corona .
Mwaka huu ka Ole Sosopi kanambwaga Lukuvi! Yeye ametoa msaada gani?View attachment 1419583
View attachment 1419584
View attachment 1419585
Wakuu poleni na janga la Corona , pamoja na taarifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari ni kuhusu Corona , lakini nchini Tanzania kuna tatizo kubwa sana la mafuriko kwenye maeneo mengi , na hivyo kuleta shida kubwa sana kwa wananchi wa maeneo husika.
Kumekuwa na uharibifu wa makazi ya raia pamoja na ukosefu mkubwa wa chakula , baada ya nyumba na mazao mashambani kusombwa na mafuriko.
Wananchi hawa wanahitaji msaada wa hali na Mali , ndio maana Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Ole Sosopi ameamua kujitokeza hadharani na kugawana kidogo alichonacho na masikini wenzake.
#Tuendelee kunawa mikono ili kujikinga na virusi vya Corona .
maana ni kweli kwamba Ole Sosopi si tajiri , bali katoa kwa moyo wake wa huruma tukwa Nini umeandika kutoa Ni moyo??
ngoja tuone kama ataleta ulanzi ule ule wa siku zote au ataleta mcheleMwaka huu ka Ole Sosopi kanambwaga Lukuvi! Yeye ametoa msaada gani?
Sosopi ana utajiri gani ?
Hongera sana SOSOPI kwa msaada kwa wananchi hao.View attachment 1419583
View attachment 1419584
View attachment 1419585
Wakuu poleni na janga la Corona , pamoja na taarifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari ni kuhusu Corona , lakini nchini Tanzania kuna tatizo kubwa sana la mafuriko kwenye maeneo mengi , na hivyo kuleta shida kubwa sana kwa wananchi wa maeneo husika.
Kumekuwa na uharibifu wa makazi ya raia pamoja na ukosefu mkubwa wa chakula , baada ya nyumba na mazao mashambani kusombwa na mafuriko.
Wananchi hawa wanahitaji msaada wa hali na Mali , ndio maana Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Ole Sosopi ameamua kujitokeza hadharani na kugawana kidogo alichonacho na masikini wenzake.
#Tuendelee kunawa mikono ili kujikinga na virusi vya Corona .
maana ni kweli kwamba Ole Sosopi si tajiri , bali katoa kwa moyo wake wa huruma tu
[/QUOTE kumbaka huu Ni mwa Mwaka wa uchaguzi,,,huruma hizi ×3
Ndio Maana LookV kapanic na kwend kugawa Dawa,hahaahView attachment 1419583
View attachment 1419584
View attachment 1419585
Wakuu poleni na janga la Corona , pamoja na taarifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari ni kuhusu Corona , lakini nchini Tanzania kuna tatizo kubwa sana la mafuriko kwenye maeneo mengi , na hivyo kuleta shida kubwa sana kwa wananchi wa maeneo husika.
Kumekuwa na uharibifu wa makazi ya raia pamoja na ukosefu mkubwa wa chakula , baada ya nyumba na mazao mashambani kusombwa na mafuriko.
Wananchi hawa wanahitaji msaada wa hali na Mali , ndio maana Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Ole Sosopi ameamua kujitokeza hadharani na kugawana kidogo alichonacho na masikini wenzake.
#Tuendelee kunawa mikono ili kujikinga na virusi vya Corona .
Amefanya vyema na nami namshukuru kwa hicho alichowafanyia wana Isimani. Tatizo linakuja kwa baadhi ya wafuasi wa chama chake. Akifanya Dk. Tulia pale Mbeya Mjini wanalalamika kweli eti anafanya kampeni mapema. Kwani nani hajui Ole Sosopi ana nia ya kuwania Ubunge Isimani? Badala ya kulalamika, tunamshukuru, maana tunajua kuwa Ubunge hawezi kuupata mbele ya Kada Lukuvi!
Halafu tangu lini mbunge akagawa dawa ?Ndio Maana LookV kapanic na kwend kugawa Dawa,hahaah
View attachment 1419789
Sent using Jamii Forums mobile app