Kutoboa ukiwa Yanga SC kwenda kucheza Soka la nje ni ngumu

Ni mchezaj gani wa Simba mtanzania aliyesajiliwa timu kubwa Africa kwa Miaka hii minne
 
Fei yupo yupo tu , hata zile tetesi za kutengeneza kuwa anahamia simba ili uto wamwongezee mpunga sijawahi kusikia. Ni ngasa ajae labda abadilike.
 
Fei yupo yupo tu , hata zile tetesi za kutengeneza kuwa anahamia simba ili uto wamwongezee mpunga sijawahi kusikia. Ni ngasa ajae labda abadilike.
Kwani wakina mkude, Mohamed Hussein, John Boko n k mbona wanazeekea simba
 
Wachezaji wangapi wanaenda Europe hajawahi kucheza hata Simba na Yanga? Farid, Novatus walicheza wapi ?
 
Unavyo eleza utazani hao walienda timu za maana kumbe mavi tu
 
Hoja nyingine ni mfu na ya kijinga, kwa point ya mtoa Uzi ingetakiwa wachezaji wote wa Simba wawe ulaya lakin wako hapa hapa ligi ya NBC
Wewe ndio mjinga huelewi. Samatta na Miqussoine walisajiliwa na timu kubwa za Afrika kutokea simba kutokana na kufanya vizuri CAF lakini pia kutokana na umri wao. Ndio maana tunamshauri fei toto na sio Sure boy na hii ni kutokana na umri.
 
Wewe ndio mjinga huelewi. Samatta na Miqussoine walisajiliwa na timu kubwa za Afrika kutokea simba kutokana na kufanya vizuri CAF lakini pia kutokana na umri wao. Ndio maana tunamshauri fei toto na sio Sure boy na hii ni kutokana na umri.
Ni wawili katika wachezaji wa Simba Zaid ya 50, umesoma kweli wachezaji wawili ambao wamefanikiwa Simba ndo unapiga kelele hivyo

Yanga Wana mmoja msuva tofauti ya mmoja na wawili ni ndogo sana acha ujinga dogo
 
Kwani umeambiwa kila anaechezea simba anasajiliwa kwingine? Hujui maana ya probability?
Sasa mbona ni wawili tu plus chama aliyeshindwa maisha huko uarabuni, same kwa yanga ni mmoja msuva plus kisinda aliyeshindwa kama chama kwa akili yako hapo Kuna tofauti gani

Ungeniambia Simba imepeleka wachezaji kumi abroad ningekuelewa Simba 3 yanga 2 alafu unasema Simba Ina probability kubwa serious
 
Wewe ndio mjinga huelewi. Samatta na Miqussoine walisajiliwa na timu kubwa za Afrika kutokea simba kutokana na kufanya vizuri CAF lakini pia kutokana na umri wao. Ndio maana tunamshauri fei toto na sio Sure boy na hii ni kutokana na umri.
Nonda kacheza fainali UEFA na kipindi anacheza yanga yanga haikufika popote caf
 
Mpitmra was Simba ba Yanga umefanya MIJITU inegeuka mizuzu.

Kuanzia asubuhi, mchana, jioni usiku. Simba aimbaaaaa, Yangaaaa yangaaaa
 
Kwani nawe mwana mkia fc🦁 unayetuombea mabaya tu au?
 
🤔🤔🤔 naanza kupata picha sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…