Niko kwenye kikao cha walimu wa kata3 za etaqo, nyakatende na nyegina chini mwenyekiti wa halmashaur mkurugenzi afisa utumishi na deo kubaini changamoto za matokeo makubwa sasa/ hoja zinazotolewa ni kucheleweshewa malipo/ kutorekebishiwa mshahara kwa wakati na serikali kupuuza madai ya walimu 7 .