Kutofanikiwa kwa big result now

jakamot

Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
51
Reaction score
4
Niko kwenye kikao cha walimu wa kata3 za etaqo, nyakatende na nyegina chini mwenyekiti wa halmashaur mkurugenzi afisa utumishi na deo kubaini changamoto za matokeo makubwa sasa/ hoja zinazotolewa ni kucheleweshewa malipo/ kutorekebishiwa mshahara kwa wakati na serikali kupuuza madai ya walimu 7 .
 
Mfano mm
.
Nikupe mitihani ya mwanangu um sahishie.... Ukimaliza vizuri na ukanipa
.
Lazma nikuletee jeuri
 
inapokuja suala la elimu sirikali huwa inajidumaza kufikiri, na hufanya hivo kwa makusudi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…