Yaani najijuta nacheka sana, unadhani wamarekani kuwachukia waarabu wote kwa sababu ya Osama kwamba Osama alitumwa na palestinaSuala la Nemes haliwezi kuwa doa hata kidogo, na hata Ukraine wanajua hilo.
Nemes aliingia into an unfortunate deal ambayo alikuwa anajaribu kujiokoa tok makuch a ya kifungo.
Hakutumwa na serikali, hkutumwa na chama chake, hakutumwa na familia.
Waswahili wanasema its an unfortunate mis adventure.
Bado nchi hii haifungamani na upande wowote katika vita ya Urusi na Ukraine.
Katika hali ya vita kuna mengi sana hufanyika nyuma ya pazia. Vita inahusu kuuana. Wanahitajika watu wengi, wenye utaalamu na wasio nao, wakifanya kazi ngumu za upagazi n.k.Narudia tena hakuna sababu ya kupotosha ili kumlinda na kumtetea Nemes. Hakuna mahali popote Nemes alipolazimishwa wote tumesikia alikuwa ni mfungwa na alipewa uamuzi wa kufanya kwa ridhaa yake na akachagua alichochagua ,huo upotoshaji wa alilazimishwa mbona mnaulazimisha?
Nilichotegemea kusikia kwa watu wahoji ni nini kilichopelekea akafungwa ?
Kwani alikuwa kwenye jeshi la Russia?Serikali ya Tanzania ilikuwa inajua kajiunga na jeshi au ni mercenary wa jeshi la Urusi? Naona sasa tunaenda sawa na ule mjadala wa alilazimishwa unaondoka na sasa mjadala ni alijiunga .Je, kujiunga na jeshi la nchi nyingine ni sahihi kisheria?Jibu bila mihemko
Mambo yasiyofaa yapi? Sheria hairuhusu SAWA. Wewe mfano una kifungo cha miaka10 jela unapewa hiyo option utakataa uendelee KUKAA jela KWA sababu tu sheria ya nchi YAKO hairuhusu? Broo linapokuja swala la kutetea uhuru wako naweka kila kitu pembeni nijue najinusuru vipi. Hiyo hiyo sheria unayosema sijui anadhalilisha ubalozi. Je huoni yanayotokea KWA ndugu zetu south africa na ubalozi umekaa kimya, oman dada zetu na mpaka video na balozi zimekaa kimya hakuna kosa alilofanya hata wewe ndani ya moto wako unajua ungefanya hivyoKama anafanya mambo yasiyofaa ni lazima tuhoji elimu yake kabla ya mengine. Na sipo hapa kumtetea yeyote anayefanya kosa awe msomi ama sio msomi.
Kama huna passport ya Tanzania, basi itafute ili uisome. Kuna maelezo yako wazi kabisa mule yakitoa mwongozo kwa mtumiaji anapokuwa katika nchi za nje.Leo Mhe.Waziri kazungumzia juu ya watanzania kutojiunga na majeshi ya kimataifa. Ninaamini katazo hilo lipo kwenye sera yetu ya kimataifa.
Natumai mhe. Waziri alipokea ushauri huu na zaidi tunaomba mkazo zaidi kwenye sera ya nchi kimataifa.
Bado nasisitiza Nemes Katia doa kubwa nchi yetu na kitendo alichofanya hakioneshi ushujaa
Tuanze na hapo. Kwanza ijulikane alishitakiwa kwa kosa gani, na kama alitiwa hatiani na kuhukumiwa je haki ilitendeka?Kama anafanya mambo yasiyofaa ni lazima tuhoji elimu yake kabla ya mengine. Na sipo hapa kumtetea yeyote anayefanya kosa awe msomi ama sio msomi.
Kilichopo ambacho Mimi na wewe tunatakiwa tukifahamu ni kwamba alikuwa ni mfungwa hayo mengine yapo beyond our discussion.Tuanze na hapo. Kwanza ijulikane alishitakiwa kwa kosa gani, na kama alitiwa hatiani na kuhukumiwa je haki ilitendeka
Je hakuna haki kufahamu mtu alifungwa kwa sababu zipi?Kilichopo ambacho Mimi na wewe tunatakiwa tukifahamu ni kwamba alikuwa ni mfungwa hayo mengine yapo beyond our discussion.