Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania biashara kubwa hatufanyi na waingereza Wala waongea kingereza tunafanya biashara kubwa mitaani na wachina bidhaa za china ndizo zimejaa nchi nzima na tunafanya na wajapani na gari zao za ToyotaKama kwenye kazi zako hukutani kabisa na kiingereza basi jua bado uko shimoni... pambana utoke huko.
Nyerere aliambiwa ili tutawalike "KIPUMBAVU" atunyime elimu na lugha za kimataifa...akafundisha UCHAWI mashuleni "MAZINGAOMBWE" waliosoma 70s to 80s watakumbuka, akawapa leseni kina KABWERE wazunguke nchi nzima kutoa uchawi, matokeo ndo yaleee, Kipara akaloga kiti cha Spika bungeni, bado wizara ya elimu haitaki kabisa lugha ya kiingereza kuanzia darasa la kwanza, ili WAJINGA/WAPUUZI, WASHENZI, WAPUMBAVU wazidi kuongezeka.Haiwezekani kama nchi maskini tuendelee kubembelezana kuijua vizuri hii lugha muhimu ya kibiashara duniani. Kama tunatakiwa kufanya export zaidi ya products na services zetu hatuwezi kukwepa kukifahamu vizuri kiingereza. Hii ni lugha kuu ya biashara duniani. HAINA MJADALA.
Kuna wapuuzi wana hoja mfu kudai mbona China ina maendeleo huku wanatumia lugha yao? Hawa ni wapumbavu wanaostahili kuchapwa viboko. Wachina wamefika hapo walipofika kwa kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yao. Nyuma ya mafanikio ya wachina kuna machozi, jasho na damu. Mao Ze Dong peke yake aliwapelekea moto wachina wenzake waache uzembe na kupiga kazi. Hata viongozi wengine waliofuatia walikuwa sio poa wakikufuma kwenye ishu za kishenzi kama ufisadi na mambo kama hayo. Hiyo imesababisha wachina wamekuwa wazalishaji wakubwa wa bidhaa duniani huku pia wao pekee wakiwa na soko kubwa la ndani. Sisi kujifananisha na mchina ni upuuzi. Kuna wale wanasemaga kwamba mwaka 1961 tulikuwa sawa na China kimaendeleo huwa nashangaa sana.
Kama hujui kiingereza jitahidi ujue. Kuna app ya duolingo ni rahisi kuitumia ukajua lugha. Mimi kwa sasa kiingereza nimeshamalizana nacho najifunza kifaransa. Mimi ni mtu ninayeongea kiingereza fasaha na kukiandika.
Cava bienBonjou mesour, comment-cava?
😅😅😅😅😅😅😅Kama kwenye kazi zako hukutani kabisa na kiingereza basi jua bado uko shimoni... pambana utoke huko.
Nimecheka sanaKama Askari wanakibonga vizuri tu wewe unashindwaje?