Kutojua kuongea na kuandika vizuri kiingereza itamkwe kama Ulemavu.

Cha ajabu shule za kata zimekuwa nyingi nchi nzima, ongeza na za english medium lakini kiingereza hakiongewi na wahitimu wake mitaani. Najiuliza hawa vijana wa bodaboda, mama lishe, machinga, wanamuziki na filamu hawakufika sekondari kujiunza kiingereza? Hata cha kubabaisha hakipo kabisa! Simu zipo zinawezesha hata kujifunza peke yako wakajifunze huko ili waondokane na aibu ya kutokujua lugha hii kubwa ya dunia nzima
 
Kama kwenye kazi zako hukutani kabisa na kiingereza basi jua bado uko shimoni... pambana utoke huko.
Tanzania biashara kubwa hatufanyi na waingereza Wala waongea kingereza tunafanya biashara kubwa mitaani na wachina bidhaa za china ndizo zimejaa nchi nzima na tunafanya na wajapani na gari zao za Toyota

Kingereza kinahitajika huko Kwa maafisa wa Serikali kukijua vizuri wajikomba Kwa wazungu wakienda kukopa mikopo world Bank,IMF na semina na warsha nk sio kwenye private sector.Private sector ya Tanzania sehemu kubwa Haina biashara na uingereza Wala nchi zinazoongea kingereza .Serikalini huko ndio Wana biashara nao malofa wakubwa wapigia yowe kikokotoo .Wanaongea kingereza weee wakiwa maofisini na nyodo zao mwisho wa siku wanapostaafu wanatungua kilio wakiongea na kulia Kwa lugha ya kiswahili kuwa kikokotoo Cha kustaafu kiangaliwe upya wao watakuwa wageni wa nani na kingereza Chao.Wanamlilia Mama Samia Kwa Kiswahili.Wakiwa ofisini kingereza kingi you know ,you know hata Raisi akiomba ushauri wanandika kingereza kuwa hii lugha ya kitaalamu sio kiswahili hopeless language.Fainali uzeeni ndio mwisho wa kingereza Cha afisa Serikali mjidai kingereza ndio Kila kitu akistaafu hiloooo linashangaa hakuna Mtu anahitaji kingereza chake kilichonyooka mtaani au kijijini
 
Nyerere aliambiwa ili tutawalike "KIPUMBAVU" atunyime elimu na lugha za kimataifa...akafundisha UCHAWI mashuleni "MAZINGAOMBWE" waliosoma 70s to 80s watakumbuka, akawapa leseni kina KABWERE wazunguke nchi nzima kutoa uchawi, matokeo ndo yaleee, Kipara akaloga kiti cha Spika bungeni, bado wizara ya elimu haitaki kabisa lugha ya kiingereza kuanzia darasa la kwanza, ili WAJINGA/WAPUUZI, WASHENZI, WAPUMBAVU wazidi kuongezeka.
 
How dyu dyu dyu dyu,,,,,,, Thomaaaaas mdogo mdogo,,mwendawazimu kaingiaje
 
Kama Askari wanakibonga vizuri tu wewe unashindwaje?
 

Attachments

  • Nigerian_Girlโ€™s_Encounter_With_The_Tanzanian_Police_#shorts(360p).mp4
    5.1 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ