At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Kwa hiyo kujadili bajeti tunakuwa tayari tumeingia mwaka mwingine tayari?Unajua bunge hili linafanya kazi gani mwezi huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kujadili bajeti tunakuwa tayari tumeingia mwaka mwingine tayari?Unajua bunge hili linafanya kazi gani mwezi huu?
Hivi mkuu nikisema wewe ni 'Mpumbavu' nitakuwa nimekosea?Siku ya Mei mosi mama alitoa ahadi ya ajira 40,000 mwaka huu wa fedha. Cha kushangaza wametangaza ajira 9000.
Ummy Mwalimu aliliambia bunge kuwa wataajiri watumishi 12,000 katika kada ya afya ila wametangaza nafasi 2000.
Wito serikali waache janja janja na uongo uongo.
Wewe ndio mpumbavu tena bendera fata upepo.Hivi mkuu nikisema wewe ni 'Mpumbavu' nitakuwa nimekosea?
Anyways, ficha upumbavu wako basi.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Acha ukabila mse#g# unajua kama mtoa mada ni msukuma mbona una akili kama unaubongo uliyojaa stool, nyie ndio mnasababisha vita vya kikabila tuliza kinyeo kiongozi.Wasukuma mmevurugwa, kwaiyo unataka waajiri wote kwa mkupuo au, kwaiyo ni makosa wakiajili kwa awamu ?;!;!
Hii serikali inatuona sisi wajinga tusiokuwa na akili, narudia kusema tena hizi ndio ajira hakutakuwa na zingine tena may be mwaka ujao wa fedha, hii ndio nitoleeni.Wewe ndio mpumbavu tena bendera fata upepo.
Jibu hoja.
Hivi unadhani kuna ajira nyingine zaidi ya hizi na bajeti ndio imepita hivyoooo.
Ajira hazijatolewa 6 years halafu mnasifia huu upuuzi.
Wapumbavu kama nyie ndio Magufuli alikuwa anawatumia kama mtaji wa kisiasa.
Ajira 6000 za waalimu hapo kuna Certificate, Diploma na Degree. Tafuta idadi ya degree tu waliomaliza kuanzia 2015
Pumba.fuuuuu
Wai kameze vidonge vyako vya uchizi!!!Acha ukabila mse#g# unajua kama mtoa mada ni msukuma mbona una akili kama unaubongo uliyojaa stool, nyie ndio mnasababisha vita vya kikabila tuliza kinyeo kiongozi.
Ikumbukwe kuwa Mh. Samia sasa anatekeleza budget ya 2020/2021. Na kwa vyovyote zile ajira 40k ni ahadi kwa bajeti ijayo ya 2021/2022.Siku ya Mei mosi mama alitoa ahadi ya ajira 40,000 mwaka huu wa fedha. Cha kushangaza wametangaza ajira 9000.
Ummy Mwalimu aliliambia bunge kuwa wataajiri watumishi 12,000 katika kada ya afya ila wametangaza nafasi 2000.
Wito serikali waache janja janja na uongo uongo.
Hivi zile 13,000 zilitangazwa na nani? Wapo ninaowafahamu wameajiriwa kwenye kipindi hicho cha miaka 5Weka data kama unazo
Hasira za nini sasa mkuu?