Kutoka Algeria: MC Alger 4 - 0 Young Africans

Yanga anapita,kuna hati hati ya kutuzidi goli moja au sare.hiyo ina maana ni faida kwetu.
 
kwa sasa ni mapumziko iko live wakianza wataonyesha moja kwa moja mwenyewe nimeangalia hapo kipindi cha kwanza.
 
Kilichopo ni kuiarifu Takukuru baadaye mahakamani.. Haiwezekani Ndala FC ipigwe
 
mtanipa tokeo naona leo sio alua ni bugashii
 
Go go go go Hatari gooooooaaal... Namna Ndala FC wanafungwa bao la 3 hapa jahazi linazama
 
Duuuu wakimataifa ni noma sana
 
Tumetolewa huko labda miujiza, jamaa wanateleza tu, nimeacha kuangalia live streaming
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…