Kutoka Algeria: MC Alger 4 - 0 Young Africans

Hebu tujadili kidogo kipigo cha Yanga Jana kutoka Kwa WaAlgeria cha bao 4- 0 kombe la Shirikisho.Eti Kwa kuwa Yanga walikuwa wanawakilisha Nchi inatakiwa tuseme "Walikufa kiume" ila ingekuwa ni mechi ya kirafiki tungesema wamechabangwa au wameaibishwa.Je ni kweli Wamekufa kiume?
 
Wanasema wanarudisha nguvu nyumban [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]
 
Yalikuwa ni magoli ya kushutukiza, ni kama ambush πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…