Kutoka Algeria: MC Alger 4 - 0 Young Africans

Kutoka Algeria: MC Alger 4 - 0 Young Africans

Hebu tujadili kidogo kipigo cha Yanga Jana kutoka Kwa WaAlgeria cha bao 4- 0 kombe la Shirikisho.Eti Kwa kuwa Yanga walikuwa wanawakilisha Nchi inatakiwa tuseme "Walikufa kiume" ila ingekuwa ni mechi ya kirafiki tungesema wamechabangwa au wameaibishwa.Je ni kweli Wamekufa kiume?
 
Wanasema wanarudisha nguvu nyumban [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]
 
Back
Top Bottom