Kutoka Algeria: MC Alger 4 - 0 Young Africans

Kutoka Algeria: MC Alger 4 - 0 Young Africans

Wachezaji awajalipwa mishahara alafu viongozi wanaangaika na point za zimba tu wasifungwe? Yanga lipeni mishahara wapambanaji wenu hari itakuwa mbaya sana ata kwenye ligi
 
Hayo ndy matokeo ya MIAMALA...na mtaendelea KUTAFUNWA 4 G....hadi mkome mipango yenu ya MIAMALA YA TIGO PESA... kila siku nazungumza mimi humu...wakimataifa anajulikana ni MNYAMA....hivi mtu UKUTANE na KIDUME kikupige KISHA KIKUVUE NGUO ZOTE kikuache UCHI...useme umepigana KIUME?
 
Yanga wamechoka.Nawaombea Simba washinde ubingwa wa ligi ya Vodacom nao wakajaribu.Yanga mle hakuna wachezaji wa kufika CAF CL.Timu zetu zimeachana na utaratibu wa timu za vijana.
 
huko algeria imekuwa machinjio yetu, hata taifa stars ilikunyugwa mabao kibao, misri sio tishio tena
 
Tatizo watu hawajajuaga shida ya yanga ni kupanda ndege tu hata wakifungwa Mia
 
YANGATEL mtandao mpya ambao unasoma 4G kutoka zenji mpka Uarabuni
Hahhahaha! nafurahi sana, kelele zote zimekwisha mtaani. At least jana nimelala fresh, cku ile wamefunga kagoli kamoja Dar walichongaaa, nikawambia mnawajua MCA waulizeni Tp Mazembe
 
Unajua yanga kupigwa four/ bashite walielewa tu, ndo maana cjui yule mkemi alikuwa anatoa mpovu point za simba ma kusahau kwamba mishahara hawajalipa, wachezaji no wazee hawewez mikiki ya warabu wakat waarabu wanafanya sub kuingiza damu changa yanga wanamuingiza mwashuya, kwa kuwa hawana watu kwa kweli kama yanga tena wakishinda ubingwa, na azam basi soka LA bongo litakuwa tabani.
 
Hayo ndy matokeo ya MIAMALA...na mtaendelea KUTAFUNWA 4 G....hadi mkome mipango yenu ya MIAMALA YA TIGO PESA... kila siku nazungumza mimi humu...wakimataifa anajulikana ni MNYAMA....hivi mtu UKUTANE na KIDUME kikupige KISHA KIKUVUE NGUO ZOTE kikuache UCHI...useme umepigana KIUME?
umewasahau libolo Mara hii au unajifariji
 
umewasahau libolo Mara hii au unajifariji
Unazungumzia enzi za wachezaji wanacheza tumbo wazi bila jezi...na peku peku bila viatu?.mpira hauna historia..ndy maana ligi zinachezwa kila siku..inashangaza kujiita wa kimataifa wakati kila mkigusa nje.. 4 LTE... mwarabu mliowahi kumtoa ktk mashindano haya..kwao walishuka daraja..same year.. Inaonyesha ilikuwa mbovu kiasi gani
 
Back
Top Bottom