Tagawa Mwakitombile
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 464
- 393
heshima kwenu wanajf,kuna rafikiyangu nikonaye mwaka wa kwanza hapa st john's ANAOMA BAF na anataka mwaka wa 2 ahame kwenda mzumbe kusomea BAF
je napenda kujua inawezekana?
Kama inawezekana process zake zikoje?
Je vp kuhusu kutransfer mkopo?
(hapa namaanisha utafika on time or it'll take long time)
thank's in advance#
je napenda kujua inawezekana?
Kama inawezekana process zake zikoje?
Je vp kuhusu kutransfer mkopo?
(hapa namaanisha utafika on time or it'll take long time)
thank's in advance#