KUTOKA BUNGE LA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KUTOKA BUNGE LA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Kumekuwa na michango Mizuri kutoka kwa wabunge wetu,lakini pia kumekuwa na michango ya wabunge ambayo aijeng na aiwasaidii wapga kura wao,hivyo nimeona hapa tuwe na jukwa huru kuleta mawazo tofauti kutoka kwa wabunge ili watu wasome na kuweza kuchakata ni nini wamekifanya katika Miaka 5 hasa ukizingatia tunaenda katika kipindi cha uchaguzi ni bora kwa sasa tuanze kuwajadili hapa,Kama unamaoni huru na chanya kwa wabunge wetu wa Bunge la JMT toa hapa tuchakte.
 
Kumekuwa na michango Mizuri kutoka kwa wabunge wetu,lakini pia kumekuwa na michango ya wabunge ambayo aijeng na aiwasaidii wapga kura wao,hivyo nimeona hapa tuwe na jukwa huru kuleta mawazo tofauti kutoka kwa wabunge ili watu wasome na kuweza kuchakata ni nini wamekifanya katika Miaka 5 hasa ukizingatia tunaenda katika kipindi cha uchaguzi ni bora kwa sasa tuanze kuwajadili hapa,Kama unamaoni huru na chanya kwa wabunge wetu wa Bunge la JMT toa hapa tuchakte.
Gentleman,
ukweli ni kwamba zaidi ya nusu ya wabunge wa sasa,watarejea bungeni baada ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025,

na wale watakoa shindwa kurejea kwenye nafasi zao, atakua replaced na wana wa CCM wengine madhubuti na imara zaidi hapo mjengoni.

hakuna haja ya kua na chuki binafsi wala kubabaika na jambo rahisi na lililowazi kama hili 🐒
 
Back
Top Bottom