Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,120
- 3,468
Du hii kali wanaenda huko kujiimarisha au kujisahihisha???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakaangwi mtu wala nini, nyie subirini muone watu wakipongezana kwa kazi nzuri ya kushughulikia ufisadi. Na baadaye maandamano ya kuungana mkono.
Thanks.
Hata Yesu katika Biblia anasema kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzake wote watatumbukia shimoni. Tusubiri tujionee kwa macho yetu nin hatma yake.
Mkuu Heshima mbele, mimi ni mwanachama mkereketwa wa CCM, lakini no way kwamba I am a clown, vipi next time ukirekebisha hii lugha ambayo kwa kweli siyo ya kistaarabu, kutumiwa tena kwenye jamii kama hii, mimi nilifikiri tunaikataa hii lugha kwa waliotuvamia, sasa na wewe wa muda mrefu ukiitumia tutawaambia nini waliotuvamia?.
1. CCM ni chama kinachotawala Tanzania, kwa ridhaa ya wananchi waliokikubali kwa kuwapigia kura kutokana na kukubali sera zao, moja ya sera za CCM kwa taifa, ambazo waliziahidi kwenye kampeni za uchaguzi, ni pamoja na uchumi wetu ambao nguvu yake kubwa hutokea BOT, sasa CCM watafanya vipi mkutano mzito bila ya gavana? I mean regardless ya how our uchumi si doing, which as usual ni a debatable ishu, lakini ni haki not only kwa CCM, bali hata vyama vya upinzani kumuita vinapokuwa na mikutano yao mikubwa.
2. Mkuu ninaamini kwamba ungekuwa na hoja nzito sana, iwapo gavana wetu wa BOT, angekuwa in the past amewahi kuitwa kwenye mikutano mizito ya vyama vya upinzani, akakataa au CCM ikamkatalia aisende,
Otherwise, naona kama sio a weak argument, basi hakuna argument kabisaa, gavana ni lazima aende kule kwenye kikao kikubwa cha CCM, yaaani chama tawala, ili aweke mambo wazi exactly yalipo na pia wajumbe wa NEC, wapate nafasi ya kumuuliza maswali muhimu huku waziri wa hazina akiwepo, kuepuka kutupiana lawama, kama alivyofanya Mama Meghji, this time wote watakuwepo yaani waziri na gavana, I thought CCM ought to be louded kwa hiki kitendo kuliko kushambuliwa. To me the move sounds good, na ni matumaini yangu kuwa opposition wata-follow the idea in the future, wakikataliwa then tutamkoma nyani.
Ahsante Wakuu.
..kwa serikali/sirikali gani waliyonayo!
..anayeweza mwita huyo ni serikali pekee [mwajiri wake]!
Hivyo ndivyo itakavyokuwa maana ndivyo tulivyo!
Mimi binafsi sitegemei jipya.Naomba kuuliza hivi na Msekwa yumo ktk hiyo NEC ya CCM?
Nimecheka sana sana .Na mimi nasema wacha nitasema mengi toka Butiama . Salaam toka Orange Tree Hotel .Hapa wapo vingunge na mimi niko Mujungu Gueste house .Yatakayo jiriri nitasema ila Musoma imekuwa kama Hollywood ila Wajita, Wakurya, Wakome, Wazanaki na wengine wamediriki kuzomea kwa uwazi Mbunge wao Mathayo na ujumbe wa wana NEC. Hili wamenikumbusha jinsi Mathayo alivyo kataliwa hadi akaja Magufuli akaja kuingilia kati lakini alishinda kwa kuua nyumbu 40 wakala akawasimamia wakapiga kura .
Mathayo jamani aliwalisha watu nyumbu hapa Musoma .Hivi kesi yake imeishia wapi ?
Mkuu Heshima mbele, mimi ni mwanachama mkereketwa wa CCM, lakini no way kwamba I am a clown, vipi next time ukirekebisha hii lugha ambayo kwa kweli siyo ya kistaarabu, kutumiwa tena kwenye jamii kama hii, mimi nilifikiri tunaikataa hii lugha kwa waliotuvamia, sasa na wewe wa muda mrefu ukiitumia tutawaambia nini waliotuvamia?.
1. CCM ni chama kinachotawala Tanzania, kwa ridhaa ya wananchi waliokikubali kwa kuwapigia kura kutokana na kukubali sera zao, moja ya sera za CCM kwa taifa, ambazo waliziahidi kwenye kampeni za uchaguzi, ni pamoja na uchumi wetu ambao nguvu yake kubwa hutokea BOT, sasa CCM watafanya vipi mkutano mzito bila ya gavana? I mean regardless ya how our uchumi si doing, which as usual ni a debatable ishu, lakini ni haki not only kwa CCM, bali hata vyama vya upinzani kumuita vinapokuwa na mikutano yao mikubwa.
2. Mkuu ninaamini kwamba ungekuwa na hoja nzito sana, iwapo gavana wetu wa BOT, angekuwa in the past amewahi kuitwa kwenye mikutano mizito ya vyama vya upinzani, akakataa au CCM ikamkatalia aisende,
Otherwise, naona kama sio a weak argument, basi hakuna argument kabisaa, gavana ni lazima aende kule kwenye kikao kikubwa cha CCM, yaaani chama tawala, ili aweke mambo wazi exactly yalipo na pia wajumbe wa NEC, wapate nafasi ya kumuuliza maswali muhimu huku waziri wa hazina akiwepo, kuepuka kutupiana lawama, kama alivyofanya Mama Meghji, this time wote watakuwepo yaani waziri na gavana, I thought CCM ought to be louded kwa hiki kitendo kuliko kushambuliwa. To me the move sounds good, na ni matumaini yangu kuwa opposition wata-follow the idea in the future, wakikataliwa then tutamkoma nyani.
Ahsante Wakuu.
Huyu Mathayo amefanya uovu mwingi sana huko musoma na nina hakika Lunyungu ana file lake zima.... sasa ngoja aanze kuanikwa taratibu.
Unajua mwaka 1995, mkoa wa mara ulikuwa miongoni mwa mikoa michache bara iliyowachagua wapinzani (na matokeo yakakubaliwa na tume ya uchaguzi) zaidi ya ccm!?