Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Habarini wanajamvi wenzangu, poleni na majukumu mbalimbali ya kujenga taifa.
Hakika tuendelee kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo yetu na taifa letu, Mungu hatatuacha atazibariki kazi za mikono yetu. Leo baada ya majukumu nimepita kwenye mitandao ya kijamii na kukuta salamu hizi nikaone ni vema niwashirikishe watanzania wenzangu.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewatakia waumini wa dini ya Kikristo nchini pamoja na watanzania wote sherehe njema za pasaka.
Salamu hizo zimetumwa kwa watanzania kupitia kurasa na akaunti za Chama hicho Tawala na kikongwe nchini.
Ikumbukwe kwamba waumini wa dini ya Kikristo siku ya kesho jumapili (04/04/2021) wataadhimisha sikukuu ya Pasaka na siku ya jumatatu ni jumatatu ya Pasaka.
Katika salamu hizo, Chama Cha Mapinduzi kimeandika;
"Uongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wanawatakia watanzania wote sherehe njema za sikukuu ya Pasaka."
Pia kimeongeza na kuweka payana kuwa "Tuna Imani na Samia."
Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa wakipatana vema na wakipendana.
Nawatakia sherehe njema za sikukuu ya Pasaka.
Hakika tuendelee kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo yetu na taifa letu, Mungu hatatuacha atazibariki kazi za mikono yetu. Leo baada ya majukumu nimepita kwenye mitandao ya kijamii na kukuta salamu hizi nikaone ni vema niwashirikishe watanzania wenzangu.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewatakia waumini wa dini ya Kikristo nchini pamoja na watanzania wote sherehe njema za pasaka.
Salamu hizo zimetumwa kwa watanzania kupitia kurasa na akaunti za Chama hicho Tawala na kikongwe nchini.
Ikumbukwe kwamba waumini wa dini ya Kikristo siku ya kesho jumapili (04/04/2021) wataadhimisha sikukuu ya Pasaka na siku ya jumatatu ni jumatatu ya Pasaka.
Katika salamu hizo, Chama Cha Mapinduzi kimeandika;
"Uongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wanawatakia watanzania wote sherehe njema za sikukuu ya Pasaka."
Pia kimeongeza na kuweka payana kuwa "Tuna Imani na Samia."
Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa wakipatana vema na wakipendana.
Nawatakia sherehe njema za sikukuu ya Pasaka.