Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

ila kitu cha kweli ni kuwa waandishi wetu sio Tanzania sio wazuri saana kivile kama waandishi wa wenzetu.
Hapo ndipo nilipolenga!
Big people make news, kuna big people wameshapoteza kuwa "big people". Trump anasema watu wadungwe disinfectants, wapitishwe kwenye UV light while this is carcinogenic! Sasa huyo ukisikia anahutubia will you waste your time kama mwananchi wa kawaida. For writers of books to keep records wandike vitabu watamsikilza,!
 
P.

Inaonekana Tz iko against the world. Tz Haitaki kusikia msamiati wa Covid 19 (Corona). Mungu atupe hekima na nguvu kuvuka mtihani huu.

Odhis *
 
Msomaji mzuri, Korona wanaweza kuwa ndani ya Papai na ndani ya Fenesi pia? Au sikumsikia Rais vizuri😂😂😂
Tuanzie labda hujui maana ya corona? Naona kuna kitu huelewi, je kwanini unanawa? Corona I apatikana kwa corona contamination Au unafikili mikono yako inazalisha virus vya corona!

Milango, vitasa, paka wanakuwa na corona kutoka wapi? Unahisi wanazalisha virus?
 
Dah! yaani wamepeleka sampuli za hovyo hovyo badala ya kupeleka za binadamu, mtaalamu atapima kile alichopelekewa na kusoma majibu. Ukimpotosha kwa kumpa kitu tofauti apime linakuwa siyo tatizo lake.....ina maana unataka afanye kazi ya ziada ya forensic ili aweze kugundua kama hiyo sampuli ni genuine na hilo linaweza kufanywa na maabara tofauti au na wataalaamu tofauti, huna haja ya kufuata mlolongo wote huo....kuna namna bora ya kuthibitisha majibu ya vipimo hasa kama utakuwa umefanya 'rapid test' itabidi ufanye 'confirmatory test' hasa kwa zile sampuli ambazo ni positive au zile ambazo una mashaka na majibu yake......ila chonde chonde usipeleke sampuli ambazo hazikukusudiwa kwa lengo la kuwalaghai wapimaji...
 
Asante kwa usahihisho, jina la utani aliitwaje?

Baghdad Bob au Comical Ali
I was there at that time nakumbuka sana maneno (quotes) zake zilikuwa zinachekesha kwa Kweli
Alisema mengi ila zile za kwanza kwanza ndio nilizisikiliza
Alisema hata maili 100 kufikia Baghdad hawapo, wakati ukweli majeshi ya dunia yalikuwa tayari yamo ndani
Nyingine alisema majeshi ya USA wana commit suicide wenyewe kwenye kuta za Baghdad
He was so funny [emoji23]


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Msomaji mzuri, Korona wanaweza kuwa ndani ya Papai na ndani ya Fenesi pia? Au sikumsikia Rais vizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikuulize Wewe unaaminije kwamba ni kweli wamepeleka mapapai, Mbuzi na Mafenesi ???
Kwani anashindwa kuongopa ili lengo lake la kutoa wananchi hofu likamilike
Kumbuka hataki kuona watu wana hofu kwa Maana hiyo ata fanya lolote ili kuwaondoa hofu

So inawezekana Sana kusema wamepeleka mapapai, mbuzi na mafenesi ni propaganda yenye mlengo wa kutoa hofu wananchi. Kwa Maana watu watajua kumbe maabara inaongopa watu hawako positive na corona ,Sijui unaelewa nachozungumza!! Yale ni Maneno tuu unamiinije?

La kukazia tuu ukweli anaujua vizuri

I'm on that good kush and alcohol
 
[emoji23][emoji23][emoji23]thanx boss, Comical Ali!!
 
Kwanza tageti ya Korona ni MAPAFU si vinginevyo, anamuingia binadamu kupitia kinywa, pua na macho pale atakapo JISHIKA na mikono iliyobeba virusi. Sasa tunda lililopasuliwa na kuchukuliwa sampuli amepenyeje huko.
 
Waziri mteule wa katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba ataapishwa leo saa 4:15 katika Ikulu ndogo ya Chato.

Tukio zima litaongozwa na Rais Magufuli.

Up dates;
Mwigulu amepewa majukumu ya kupambana na Corona kisheria

Source Clouds tv
Sasa wizara ya katiba na sheria kuhusishwa na corona naona ni mtego Mwigulu amewekewa.


Sent using iphone pro max
 
Acha ujinga J's hotel.Hoteli ya Magufuli ndo imekua Ikulu. Ndo wonder ulisoma degree ya law kwa miaka 20
 
Kumbuka kunawa mikono na sabuni
Kuvaa barakoa
Pia usisahau Pasco mayalla Ni msukuma
Ova.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ana njaa kupita kiasi alikuwa mwenzetu lakini toka astaafu anajaribu kila njia kupata uteuzi lakini anapigwa chenga ingawa hii nafasi ingemfaa sana maana angeteuliwa kuwa mbunge kwanza halafu uwaziri kurudisha nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…