Hii point Kali sana, bonge la observationSasa kuapishana sasa hivi si ni hatari ? Huyu mbunge ametembea sehemu ngapi na amekutana na wangapi na tunajuaje kama jana tu au sekunde nne kutokea sasa hajakutana na mwenye huu ugonjwa ?
Nadhani hatuchukulii hili janga userious unaotakiwa...
Tweet ya Gerson ilisema kuanzia Saa 4:15, saa yenyewe ndio hii, bado live ya Ikulu ya Chato haijaanza ila itaanza very soon!.Itakuwa saa ngapi mkuu?
Hivi leo ameenda kanisani?Wanabodi
Kwa wale wenye nafasi, ifika saa 4:15 asubuhi hii, tujiunge na TBC kuangalia matangazo ya moja kwa moja ya live mubashara kutokea ikulu ya Chato.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Tweet ya Gerson Msigwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Mei, 2020 atamuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Tukio hilo litarushwa moja kwa moja na vyombo vya habari kutoka Chato Mkoani Geita, kuanzia saa 4:15 asubuhi. Gerson Msigwa on Twitter
Karibuni mshuhudie
Pia leo ni siku ya kimataifa ya kuadhimisha siku ya uhuru wa habari, huku Tanzania tukiwa kwenye hii vita ya kimataifa ya kupambana na janga la Corona, serikali ya Tanzania ikishutumiwa kuficha idadi ya kweli ya vifo vya Corona, hivyo tufuatilie kwa makini tukimsikiliza rais Magufuli atazungumza nini.
P
Waambie kuna Çorona hakukua na haraka kiasi hichoTweet ya Gerson ilisema kuanzia Saa 4:15, saa yenyewe ndio hii, bado live ya Ikulu ya Chato haijaanza ila itaanza very soon!.
P
Sema tu sasa ni kwamba apangalo Mungu ni ngumu mwanadamu kulipangua, atamtafuta sababu tu hadi ulipate, nani anajua huenda ni mpango wa Mungu ifike?Sasa kuapishana sasa hivi si ni hatari ? Huyu mbunge ametembea sehemu ngapi na amekutana na wangapi na tunajuaje kama jana tu au sekunde nne kutokea sasa hajakutana na mwenye huu ugonjwa ?
Nadhani hatuchukulii hili janga userious unaotakiwa...
Wanabodi wale wenye nafasi
Karibuni mshuhudie
P
===
Hahahaha Habari za siku nyingi? Mnaendeleaje lakini? Pokea salam kutoka kwanguGeto lake ndo ikulu
Hivi kumbe Chato kuna Ikulu? Nimeuliza Kuna Ikulu??
Updates pls,every now and then...Wanabodi
Kwa wale wenye nafasi, ifika saa 4:15 asubuhi hii, tujiunge na TBC kuangalia matangazo ya moja kwa moja ya live mubashara kutokea ikulu ya Chato.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Tweet ya Gerson Msigwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Mei, 2020 atamuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Tukio hilo litarushwa moja kwa moja na vyombo vya habari kutoka Chato Mkoani Geita, kuanzia saa 4:15 asubuhi. Gerson Msigwa on Twitter
Karibuni mshuhudie
Pia leo ni siku ya kimataifa ya kuadhimisha siku ya uhuru wa habari, huku Tanzania tukiwa kwenye hii vita ya kimataifa ya kupambana na janga la Corona, serikali ya Tanzania ikishutumiwa kuficha idadi ya kweli ya vifo vya Corona, hivyo tufuatilie kwa makini tukimsikiliza rais Magufuli atazungumza nini.
P
Sasa kuapishana sasa hivi si ni hatari ? Huyu mbunge ametembea sehemu ngapi na amekutana na wangapi na tunajuaje kama jana tu au sekunde nne kutokea sasa hajakutana na mwenye huu ugonjwa ?
Nadhani hatuchukulii hili janga userious unaotakiwa...
Tangu Corona ilipoanza, mimi nili ji quarantine, ila Jumamosi ya jana ilikuwa ni zamu ya kusali Jumuiya home kwangu, niliwawekea viti hapo nje mimi huyo...!.Hivi leo ameenda kanisani?
Wameunga tayari na wamechelewa lakini.Tweet ya Gerson ilisema kuanzia Saa 4:15, saa yenyewe ndio hii, bado live ya Ikulu ya Chato haijaanza ila itaanza very soon!.
P
Nimewaza hili jambo pia. Sijui wametumia njia ipi kukagua nyendo za MN maana juzi alikuwa bungeni hatujui kakutana na nani huko.