Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Atleast amejitahidi sio yule wa jana aliyekuwa anasoma speech yake.

Ila atake asitake Mwigulu atachinjwa tuu!
 

Ni kweli hakuna short cut lazima kuwe na mipango ya muda mrefu lakini pia lazima kuwe na jitihada za kuinusuru hali hiyo wakati mipango ya muda mrefu inakuja, pia tukiangalia katika utawala wake kama naibu wazir ndo hali imekuwa mbaya zaidi.....
 
Reactions: BAK
TUTAWANYANG'ANYA LESENI, TUTAWAFUNGA JELA.

'Hakika usilolijua ni kama usiku wa giza" Nimeshangazwa sana na kauli ya Mh Mwigulu ambaye ni naibu waziri wizara ya fedha.
Ameonesha wazi hajui ni dawa gani zinazoruhusiwa kuuzwa kwenye maduka ya madawa ya binadamu katika nchi yake.

Siwezi kushangaa sana japo kanisikitisha kuona kiongozi mkubwa wa kitaifa hajui tofauti ya Dawa zinazokuwepo hospitalini na zile ambazo wamiliki wa maduka wanauza.

Kabla hajalizungumza hili kama mtia nia alitakiwa kujiuliza kwa wadau wa Afya wampe tofauti lakini pia hili jibu kuwa wao hawatibiwi hapa kwetu bali ni ughaibuni

Eti "Tutawanyang'anya leseni na kuwafunga" japo hao wamesomeshwa kwa kodi za wa Tanzania hawa si wengine ni madaktari, najiuliza huyu jamaa kala maharage ya wapi hadi anashindwa kuelewa dawa zinazomilikiwa na serikali zina nembo ya MSD na hizi haziuzwi katika la madawa kamwe.

Namshari afuatilie namna dawa hizi zinavyotolewa huko mahospitali na ajiulize kwanini madaktari wanawaonesha wagonjwa sehemu ya kununua kuliko kukurupuka.
Shame on u Mwigulu

Msema kweli haogopi kufungwa wala kufa

Dr Kilawa the Iron
 
Prof. Mark hana skando but naona afya yake ndo tatzo vile!

Hahahahaha kaka wote hawa old mammals wanaumwa! Si ulionaga jamaa yetu alivyokuwaga anachapa mieleka majukwaani?
 

Naunga mkono hoja hakuna aliye msafi CCM.....Nchemba ameipondea serikali,kapondea chama chake analalamika mfumo mbovu anamlalamikia nani wakati naye yumo ndani ya huo mfumo? Amefanya nini yeye kama yeye kuleta mabadiliko katika mfumo wao mbovu? Au anasafisha kikombe nje wakati ndani ni kichafu? Hana jipya naye ni wale wale.......
 
Reactions: BAK
TUTAWANYANG'ANYA LESENI, TUTAWAFUNGA JELA.

'Hakika usilolijua ni kama usiku wa giza" Nimeshangazwa sana na kauli ya Mh Mwigulu ambaye ni naibu waziri wizara ya fedha.
Ameonesha wazi hajui ni dawa gani zinazoruhusiwa kuuzwa kwenye maduka ya madawa ya binadamu katika nchi yake.

Siwezi kushangaa sana japo kanisikitisha kuona kiongozi mkubwa wa kitaifa hajui tofauti ya Dawa zinazokuwepo hospitalini na zile ambazo wamiliki wa maduka wanauza.

Kabla hajalizungumza hili kama mtia nia alitakiwa kujiuliza kwa wadau wa Afya wampe tofauti lakini pia hili jibu kuwa wao hawatibiwi hapa kwetu bali ni ughaibuni

Eti "Tutawanyang'anya leseni na kuwafunga" japo hao wamesomeshwa kwa kodi za wa Tanzania hawa si wengine ni madaktari, najiuliza huyu jamaa kala maharage ya wapi hadi anashindwa kuelewa dawa zinazomilikiwa na serikali zina nembo ya MSD na hizi haziuzwi katika la madawa kamwe.

Namshari afuatilie namna dawa hizi zinavyotolewa huko mahospitali na ajiulize kwanini madaktari wanawaonesha wagonjwa sehemu ya kununua kuliko kukurupuka.
Shame on u Mwigulu

Msema kweli haogopi kufungwa wala kufa

Dr Kilawa the Iron
 
Ccm ni hatari hata akipewa nafasi ya kuongoza hawezi kufurukuta mbele ya mtandao wa watafuna nchi, ameingia kwenye rekodi but urais asahau sababu ili uwe rais wa nchi hii kupitia ccm lazima ubebwe na mafisadi kama alivyobebwa jk, na yanavyombeba el
 
Ni kweli hakuna short cut lazima kuwe na mipango ya muda mrefu lakini pia lazima kuwe na jitihada za kuinusuru hali hiyo wakati mipango ya muda mrefu inakuja, pia tukiangalia katika utawala wake kama naibu wazir ndo hali imekuwa mbaya zaidi.....

Wakati tu anaingia ulikuwa mbaya, kumbuka wakati JK anaingia na tatizo la majambazi japokuwa sio like for like lakini inawezekana kipimdi hiki ndio Dollar na Pound zimekuwa strong.

Ndio tuwape nchi wachumi watusaidie kwa kuweka mikakati ya muda huku wakiwa wanaset mipango ya muda mrefu, hatuna shida na wataalam wa sanaa kwani kina Diamond wanafanya vizuri kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…