Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Atleast amejitahidi sio yule wa jana aliyekuwa anasoma speech yake.

Ila atake asitake Mwigulu atachinjwa tuu!
 
Of course huwezi kujenga uchumi kwa siku 2. Lazima uwe na mipango ya muda mrefu.

Mfano Kagame na 2020 vision, aliwaahidi wananchi wake hivyo mwanzoni mwa 2000, na ime work sasa hivi Rwanda iko mbali kabla hata mwaka 2020 haujafika.

Kifupi hakuna shortcut kwenye kujenga uchumi bora.

Ni kweli hakuna short cut lazima kuwe na mipango ya muda mrefu lakini pia lazima kuwe na jitihada za kuinusuru hali hiyo wakati mipango ya muda mrefu inakuja, pia tukiangalia katika utawala wake kama naibu wazir ndo hali imekuwa mbaya zaidi.....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
TUTAWANYANG'ANYA LESENI, TUTAWAFUNGA JELA.

'Hakika usilolijua ni kama usiku wa giza" Nimeshangazwa sana na kauli ya Mh Mwigulu ambaye ni naibu waziri wizara ya fedha.
Ameonesha wazi hajui ni dawa gani zinazoruhusiwa kuuzwa kwenye maduka ya madawa ya binadamu katika nchi yake.

Siwezi kushangaa sana japo kanisikitisha kuona kiongozi mkubwa wa kitaifa hajui tofauti ya Dawa zinazokuwepo hospitalini na zile ambazo wamiliki wa maduka wanauza.

Kabla hajalizungumza hili kama mtia nia alitakiwa kujiuliza kwa wadau wa Afya wampe tofauti lakini pia hili jibu kuwa wao hawatibiwi hapa kwetu bali ni ughaibuni

Eti "Tutawanyang'anya leseni na kuwafunga" japo hao wamesomeshwa kwa kodi za wa Tanzania hawa si wengine ni madaktari, najiuliza huyu jamaa kala maharage ya wapi hadi anashindwa kuelewa dawa zinazomilikiwa na serikali zina nembo ya MSD na hizi haziuzwi katika la madawa kamwe.

Namshari afuatilie namna dawa hizi zinavyotolewa huko mahospitali na ajiulize kwanini madaktari wanawaonesha wagonjwa sehemu ya kununua kuliko kukurupuka.
Shame on u Mwigulu

Msema kweli haogopi kufungwa wala kufa

Dr Kilawa the Iron
 
Hata Kikwete DHAIFU alikuwa na hoja yenye mashiko. "Nitaipitia tena mikataba ya madini ili kuhakikisha ina maslahi kwa nchi yetu" "Ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya" "Maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana" lakini alipoingia Ikulu akaweka kipaumbele kwenye ufisadi, kupokea pesa toka kwa marafiki zake AKA rushwa, kuwa VDG kiguu na njia na kuweka rekodi ya Rais aliyesafiri nchi nyingi za kigeni na pia aliyekuwa nje ya nchi yake kwa muda mrefu kuliko Rais yeyote yule duniani, kuwakingia kifua wezi, wapokea rushwa, wauza unga, majangili na kuwa na matanuzi makubwa ndani ya Ikulu. Kumbuka huyu kuna wakati aliitwa mpaka chaguo la Mungu kumbe si lolote si chochote naye ni fisadi tu. Watanzania tusirudie makosa ya 2005 ya kusikia hizi ahadi nzuri nzuri ambazo ni hewa na wakishaingia Ikulu ahadi zao wanaziweka pembeni kabisa. Ndani ya MACCM hakuna yeyote yule, narudia hakuna YEYOTE yule anayestahili kuliongoza Taifa letu.

Naunga mkono hoja hakuna aliye msafi CCM.....Nchemba ameipondea serikali,kapondea chama chake analalamika mfumo mbovu anamlalamikia nani wakati naye yumo ndani ya huo mfumo? Amefanya nini yeye kama yeye kuleta mabadiliko katika mfumo wao mbovu? Au anasafisha kikombe nje wakati ndani ni kichafu? Hana jipya naye ni wale wale.......
 
  • Thanks
Reactions: BAK
TUTAWANYANG'ANYA LESENI, TUTAWAFUNGA JELA.

'Hakika usilolijua ni kama usiku wa giza" Nimeshangazwa sana na kauli ya Mh Mwigulu ambaye ni naibu waziri wizara ya fedha.
Ameonesha wazi hajui ni dawa gani zinazoruhusiwa kuuzwa kwenye maduka ya madawa ya binadamu katika nchi yake.

Siwezi kushangaa sana japo kanisikitisha kuona kiongozi mkubwa wa kitaifa hajui tofauti ya Dawa zinazokuwepo hospitalini na zile ambazo wamiliki wa maduka wanauza.

Kabla hajalizungumza hili kama mtia nia alitakiwa kujiuliza kwa wadau wa Afya wampe tofauti lakini pia hili jibu kuwa wao hawatibiwi hapa kwetu bali ni ughaibuni

Eti "Tutawanyang'anya leseni na kuwafunga" japo hao wamesomeshwa kwa kodi za wa Tanzania hawa si wengine ni madaktari, najiuliza huyu jamaa kala maharage ya wapi hadi anashindwa kuelewa dawa zinazomilikiwa na serikali zina nembo ya MSD na hizi haziuzwi katika la madawa kamwe.

Namshari afuatilie namna dawa hizi zinavyotolewa huko mahospitali na ajiulize kwanini madaktari wanawaonesha wagonjwa sehemu ya kununua kuliko kukurupuka.
Shame on u Mwigulu

Msema kweli haogopi kufungwa wala kufa

Dr Kilawa the Iron
 
Ccm ni hatari hata akipewa nafasi ya kuongoza hawezi kufurukuta mbele ya mtandao wa watafuna nchi, ameingia kwenye rekodi but urais asahau sababu ili uwe rais wa nchi hii kupitia ccm lazima ubebwe na mafisadi kama alivyobebwa jk, na yanavyombeba el
 
Ni kweli hakuna short cut lazima kuwe na mipango ya muda mrefu lakini pia lazima kuwe na jitihada za kuinusuru hali hiyo wakati mipango ya muda mrefu inakuja, pia tukiangalia katika utawala wake kama naibu wazir ndo hali imekuwa mbaya zaidi.....

Wakati tu anaingia ulikuwa mbaya, kumbuka wakati JK anaingia na tatizo la majambazi japokuwa sio like for like lakini inawezekana kipimdi hiki ndio Dollar na Pound zimekuwa strong.

Ndio tuwape nchi wachumi watusaidie kwa kuweka mikakati ya muda huku wakiwa wanaset mipango ya muda mrefu, hatuna shida na wataalam wa sanaa kwani kina Diamond wanafanya vizuri kimataifa.
 
Back
Top Bottom