Aaa wapi! kwa hili unajikosha na kutetea bihashara zenu chafu! kwani hatujui jinsi mnavyo fanya reparkaging? Acha kabisa!!!
Kwanza kabla ya kusema lazima utambue ni dawa zipi zinaruhusiwa kuuzwa kwenye maduka ya madawa na zipi haziruhusiwi, ukijua hilo inatosha then njoo ujue je nikizikuta ambazo haziruhusiwe ni hatua gani ya kuchukua?