Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Vyama vyote haviwapi nafasi vijana wagombea wa CUF ni Maalim Seif na Lipumba,ukija CHADEMA ni Dr Slaa hawa wote wameshafikisha miaka 60.Bado mfumo wa vyama vya siasa za Tanzania hauwapi nafasi vijana kugombea nafasi nyeti

Nadhani si Tanzania tu hata nchi zilizoendelea,kama ikitokea inakuwa Mara chache siyo kwamba wame set the standard,angalia akina Angela Merkel
 
Kakodi mengi sana kwa kweli naona yamejaa hapa UDOM na wanafunzi wanazidi kumiminika kuingia kwenye gari.

Nchi hii ni shidaaaaa!!!!!

nao wanahaki ya kusikiliza. Alichofanya ni kufacilitate tu watu wafike. Hakuna aliyelazimishwa..
 
Mwigulu si ndie aliechana nakala ya budget ya waziri kivuli wa fedha bungeni!kwamba haina kitu kinachoweza tekelezeka?Lakini leo hii katumia maneno yaleyale yaliokuwa kwenye hotuba ile kwamba ndio vipaumbele vyake?Wonders shall never end in TZ wacha movie iendelee...
 
Kwa hiyo kila jema likiongelewa na CCM ni idea ya upinzani?

Mwigulu ni jembe na ni kiboko ya upinzani, lazima mpanick..

Hufuatilii Siasa Za Nchini Mkuu. Mwigulu Leo Alikuwa UKAWA kwa hotuba yake. Amerudia Yaleyale Yanayosemwa Na Wapinzani, Hasa Katika Bunge Hili La Bajeti.
 

Aaaaah haya bana (hapo kwa red), tia nia tu wapiga debe wako tupo for free

BTW mi naangalia uwezo wa mtu siangalie hizo personals kama kunywa pombe, manake kama kunywa karibia wote wanakunywa pombe. Uhuru kenyatta anakunywa balaa lakini ndo rais wa kenya sasa, mzee warioba kajijengea heshima sana nchi hii lakini alikuwa mnywaji balaa enzi zile akiwa PM wa mzee ruksa
 

Sio kila mtanzania ni maskini kama ulivyo wewe...
 
nadiriki kusema hujachambua vizuri....hotuba iliyokuwa nampangilio na wasilishaji mzuri ni ya wasira......huyu nchemba anashika namba mbili kisha yule wa tamasha la jana hata namba tatu hashiki..siwezi kumuweka namba tatu hafai nafasi hiyo

Sorry ,hivi ya wasira ilikuwa hotuba au historia zaidi ya udhoefu?
 
Hufuatilii Siasa Za Nchini Mkuu. Mwigulu Leo Alikuwa UKAWA kwa hotuba yake. Amerudia Yaleyale Yanayosemwa Na Wapinzani, Hasa Katika Bunge Hili La Bajeti.
Nikikuambia kua hayo ya kuhusu viwda vya nguo niliishayaongelea miaka mitatu iliyopita utaniambia wakisema sawa na mimi wanakosea kwa sababu nimewahi kuyasema?
 

Multiple IDs at work!
 
Mwigulu kaongea unafiki mtupu, akiwa kama kiongozi wa chama na waziri maana yake mawaze yake yangeweza tekelezwa maana anshiriki baraza la mawaziri na mjumbe wa kamati kuu inayopanga ilani ya chama chao
 
Nimesikiliza vizuri na kwa umakini mkubwa hotuba za watangaza nia wote wanne wa CCM kwa kweli mtangaza nia aliyetoa hotuba nzuri na yenye ubora zaidi ni Mzee Wasira. Mwigulu kaongea vizuri sana lakini hotuba yake haifikii ubora wa hotuba ya Mzee Wasira. EL ni wakuhurumia maana ni kama mtoto.
 
Hakuna umaskini mbaya kama umaskini wa akili wa akili waliotangaza nia za kugombea ccm wote pamoja na kutumia vyombo vya habari vingi sijaona jipya kwani ni zile hoja za upinzani wana hoja nyepesi nyepesi lakini wameshindwa kuzifanyie kazi wakiwa madarakani wanasubiri mpaka wawe maraisi huu usanii tupu.ndani ya ccm hakuna jipya wala mabadiliko yoyote.CCM ENDELEENI NA SAFARI ZENU ZA HUZUNI ZA KUIMALIZA CCM.
VOTE FOR UKAWA
 

Tulia unyolewe wewe
 
Sera ipi ya upinzani aliyotumia? Huyu ndio jembe la ccm hana makundi na anauwezo wa kukemea jambo lolote baya bila aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…