Vyama vyote haviwapi nafasi vijana wagombea wa CUF ni Maalim Seif na Lipumba,ukija CHADEMA ni Dr Slaa hawa wote wameshafikisha miaka 60.Bado mfumo wa vyama vya siasa za Tanzania hauwapi nafasi vijana kugombea nafasi nyeti
Nadhani si Tanzania tu hata nchi zilizoendelea,kama ikitokea inakuwa Mara chache siyo kwamba wame set the standard,angalia akina Angela Merkel