Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Huyu Nchemba mbona anaanza kwa kujibu ya wenzake waliotangulia baada ya kusema atafanya nn
 
Aache porojo, watanzania wamechoshwa na historia ya umasikini, wanataka Rais wa kuwatoa kwenye umasikini
 
Ameshakujibu, hahaha...Mwl hakuwahi hata kuwa naibu waziri alitokea kufundisha tu lakini mpaka leo anapigiwa mfano, Mwigulu ni kiboko, natamani sana amuunge mkono Lowassa apewe uwaziri mkuu.

Yani wewe
 
Amenifurahisha kujenga middle income class, kuwa nabajeti inayojitegemea.akisimamia hili tutavuka.big up mwigulu hamia ukawa sasa tujenge nchi.
 
kazi ya rais wa awamu ya tano ndio jambo la msingi, kuepeleka nchi kuwa na kipato cha kati, jamaa huyu kisha ipigia hesabu gass.

Kuipeleka nchi ya kipato cha kati, wakati yeye kama naibu waziri dola moja ya marekani ni 2000+ atuambie amefanya nini?
 
Anatetea wafanyabiashara wadogo kulipishwa kodi, na wageni kupewa misaada wakati hivi sasa ni waziri wa fedha ameshindwa kulitelekeza hilo kila siku migomo ya wafanyabiashara anasubiri awe rais ndio afanye? nasasa wizara yake inahusika na hili?
 
Sasa kama alikua anakunywa uji inaongea ili iweje hayo ni kawaida kwa Watanzania wengi aongee Sera na ataifanyia Nini Tanzania ka kiongozi. Sera za kuvusha nchi kutoka stage moja kwenda nyingine.

huyu anataka tuwaze kunywa uji kama yy alivyokua
usishangae mtu kama huyu akatuwekea sheria kwamba mlo wa asbh uwe ni uji wa chumvi ili tuweze kuserve hela ili kupata maendeleo
 
Hao wakwepa kodi wakubwa mbona hawataji na yeye ndiye anayehusika?huo ni unafiki wa wana ccm wa hali ya juu
 
Kama vile ananiteka vileeeee!! Man of my heart.
I wish..... I wish.....


Ila haiwezi CCM.
Na inatisha kwa kuwa anajua kuwa haiwezi na anatudanganya kuwa atabadilisha hio system.
Agenda is okay. Na ndio kilio chetu na tunajua agenda ya CCM ina agenda yake.
Akisustain hii atakuwa rais wetu baadae

Mhhhhhh, mhhhhhh!
 
So far kawapiga bao wote waliotangaza nia,now I can proud stand and say MWIGULU FOR STATE HOUSE

..kampiga bao Lowassa kwa kutangaza nia huko vichochoroni?

..Lowassa has set the standard ya kutangaza nia.

..wagombea wote watakaotangaza baada ya Lowassa wanapaswa kufanya vizuri kuliko alivyofanya Lowassa.

..wanatakiwa kupata umati mkubwa zaidi. wanatakiwa kutoa hotuba nzuri na ya kusisimu kuliko ya Lowassa. wanatakiwa kuwa more organized and disciplined ktk mkutano wao. zaidi wanatakiwa wa-articulate a better vision kuliko ile aliyotoa Lowassa.

cc Pasco, Lizaboni, Ritz, Chademakwanza, Tumaini Makene, Mag3, Nguruvi3, Kimbunga, Mohamedi Mtoi, Kapwela
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom